Recent content by danford83

  1. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa Course ya kujiendeleza VETA?

    Habari, Je ni course gani ya Veta ambayo ungemshauri kijana akasome Veta itakayomwezesha kujiajiri au kuajiriwa?
  2. D

    JamiiForums Tanzania Practical za IT Project Management na ICT security Utumishi

    Habari Wana JamiiForums, Kwa yoyote ambae kawahi kufanya Mitihani ya practical baada ya kuvuka written ya IT project Management au ICT security naomba uzoefu wako juu ya practical ilikuwaje na ni maswali gani walitoa? Natanguliza shukrani.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamefikia wapi ajira za EGA za mwezi wa 8??

    Nmeyaona,ahsante Sana ngoja nijifue
  4. D

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamefikia wapi ajira za EGA za mwezi wa 8??

    Nimeliona,ngoja nijipange
  5. D

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamefikia wapi ajira za EGA za mwezi wa 8??

    Kama ni hivo kwanini wanaendelea kufanya interview na kuajiri kwa taasisi zingine kupitia utumishi??
  6. D

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamefikia wapi ajira za EGA za mwezi wa 8??

    Hapa karibuni utumishi imekuwa ikitoa majina ya shortlisted ndani ya wiki mbili au 3 toka siku ya deadline. Ila hizi ajira za EGA zimechukua zaidi ya mwezi hata majina ya shortlisted bado hayajatoka. Vipi wanakwama wapi??
  7. D

    JamiiForums Tanzania Utumishi wamefikia wapi ajira za za mwezi wa 8??

    Hapa karibuni Utumishi imekuwa ikitoa majina ya shortlisted ndani ya wiki mbili au 3 toka siku ya deadline.Ila hizi ajira za EGA zimechukua zaidi ya mwezi hata majina ya shortlisted bado hayajatoka.Vipi wanakwama wapi??
Back
Top Bottom