Recent content by Dampa

  1. Dampa

    Viongozi wengi wa CCM niwanafiki na wanatengeneza kizazi cha wanafiki

    Mwinyi alishaga maliza kila zama na kitabu chake ndo maana umeona watu wamebadili giA angani kila mmoja sasa anatafuta ugali kwa mama
  2. Dampa

    Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

    Na mkome kuongea ongea vitu vya kudhania tu 😂
  3. Dampa

    Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

    Kwa watu wenye chembe chembe za uchawi uchawi kama wewe hatushangai ukisema ni kafara
  4. Dampa

    Tanzania na Vifurushi vipya vya Data na Sauti (Aprili 2021) - Mwitikio wa wananchi

    Acha uboya sasa umengangania kutumwa kutumwa kwani kila anachofanya waziri katumwa we vp
  5. Dampa

    Tanzania na Vifurushi vipya vya Data na Sauti (Aprili 2021) - Mwitikio wa wananchi

    Ni moja kati ya majukumu yake kusema aliagizwa na mtu huyo mtu wewe unamjua au unahisi tu?!
  6. Dampa

    Tanzania na Vifurushi vipya vya Data na Sauti (Aprili 2021) - Mwitikio wa wananchi

    Muacheni mtu apumzike bhana haya yameletwa na bwana ndungulile bhana sasa magu hapa kaingia vp
  7. Dampa

    Kauli ya kuitwa 'wanyonge' ndio silaha hatari wanayoitumia viongozi ili wananchi wasitoke nje ya boksi

    Unyonge ni hali na kila mtu huwa anajisikia unyonge kwa namna yoyote ile sema kikubwa ni kupambana kuepukana na unyonge ambao wachache sana hufanikiwa kivyao lakini ni ukweli usio pingika kuwa kuna watu bila kuwasaidia kwa upole na huruma wataendelea kubaki kuwa wanyonge maisha yao yote Na kuna...
  8. Dampa

    Hukumu ya kesi ya Shamimu na mumewe kutolewa kesho Machi 31, 2021

    Hee kumbe wewe huwa ni mwanamke duh
  9. Dampa

    Kauli ya kuitwa 'wanyonge' ndio silaha hatari wanayoitumia viongozi ili wananchi wasitoke nje ya boksi

    We nae umetoka wapi hii nchi wanyonge ni wengi sana na kila nchi tu hili kundi lipo lazima watetewe kulikana ni sawasawa na kulifumbia macho tu tena kwa nchi hii ya tz wanyonge ni wengi sana
  10. Dampa

    Kwanini Bosi wa TAKUKURU anavaa sare za Jeshi? Nini taswira ya Utawala wa Kiraia?

    Huko takukuru kwenye ni ulinzi na usalama tosha wa nchi tena hao wanapaswa kuwa hapo maana kuna watu wanaweza kuiweka nchi mfuko kama wakiachiwa huru tu kutumia mapesa yao
  11. Dampa

    Kwanini Bosi wa TAKUKURU anavaa sare za Jeshi? Nini taswira ya Utawala wa Kiraia?

    Acha mambo yako wewe daktari wa kijeshi anapiga combat na anaingia hospitali sembuse huyo kwanza kwa kazi kama iyo ilipaswa ifanywe na watu kama hawa hata kumpa rushwa tu mwenyewe unajistukia
  12. Dampa

    Pesa makaratasi?

    Jamaa mjanja kaamua kunata na biti kwamba siyo ila hapo mwanzo alitupia akijua ni madolari ya bwana makoko
  13. Dampa

    Pesa makaratasi?

    Haya ndo madola ya bwana makoko nn
  14. Dampa

    Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

    Mbona anaongea 'kinganga njaa' kama waganga njaa wengine
  15. Dampa

    Rais Samia Suluhu piga chini daraja la Kigongo - Busisi haijalishi lilipofikia

    Nani mskumua we boya nini hata kama ingekuwa kwa masai tz hatuna ukabila
Back
Top Bottom