Viongozi wengi wa CCM niwanafiki na wanatengeneza kizazi cha wanafiki

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Kigwangalla ni msomi akiwa Daktari wa binadamu, jana akiwa awamu ya tano alitueleza kupiga nyungu ni sawa na hakukemea mtambo wa Nyungu kuwekwa Muhimbili. Leo siku 17 tangu Mhe. Rais aondoke madarakani anatoka hadharani nakusema ule mtambo uondolewa na tufuate taratibu za kitaalamu. Huyu mtu anaanzaje kuitwa mzalendo au kukabidhiwa madaraka ya kuongoza watu?

Mrisho Gambo miaka yote mitano ya Magufuli alineemeka na alishiriki siasa zote chafu dhidi ya wakosoaji wa mzee. Leo less than 20 days tangu mzee aondoke anajitokeza hadharani kupingana na sera ya kibiashara na uchumi ya awamu iliyopita. Hivi kweli huyu anafaa kupewa uongozi?

Mwigulu Nchemba amezolea sifa kwenye mitandao za kuchora X kwenye hoja kuntu za wapinzani wa mfumo wa Serikali iliyopita, alisimama kidete kupigia chapuo mfumo wa ukusanyaji Kodi wa mabavu wa Awamu iliyopita, leo anawaambia wafanyabiashara warejeshe imani kwa Serikali na wapeleke fedha benk, simple like that?

Ndugai mtu wa karibu wa Mzee naye anapita kulekule yeye na Naibu wake kukubaliana kwamba mzee alikosea wakati wao ndio walikuwa wapiga makofi na kusifia.

Kabudi aliyekuwa anawaita waliojiweza mabebetu Leo kawa kimya akicheza ngoma kulingana na mfundo. Uprofesa kazi yake nini Kama elimu haiwezi kulipeleka Taifa njia sahihi?

Tukiendelea kuwasifia nakuwaunga mkono watu wa aina hii wataliangamiza Taifa. Tujitokeze nakuwapinga adharani wajue wanakosea. Tuache kuishi kinafiki Kama wanavyotufunza.

Pasaka njema.
 
Mwinyi alishaga maliza kila zama na kitabu chake ndo maana umeona watu wamebadili giA angani kila mmoja sasa anatafuta ugali kwa mama
 
Wanaenda na biti la wanaowaongoza maana wenyewe akili zinalingana vijana, watoto na watu wazima hakuna anayetaka kujenga nyumba Tanzania kwa ajili ya kuishi sehemu nzuri kwa warithi.
 
Kigwangalla ni msomi akiwa Daktari wa binadamu, jana akiwa awamu ya tano alitueleza kupiga nyungu ni sawa na hakukemea mtambo wa Nyungu kuwekwa Muhimbili. Leo siku 17 tangu Mhe. Rais aondoke madarakani anatoka hadharani nakusema ule mtambo uondolewa na tufuate taratibu za kitaalamu. Huyu mtu anaanzaje kuitwa mzalendo au kukabidhiwa madaraka ya kuongoza watu?

Mrisho Gambo miaka yote mitano ya Magufuli alineemeka na alishiriki siasa zote chafu dhidi ya wakosoaji wa mzee. Leo less than 20 days tangu mzee aondoke anajitokeza hadharani kupingana na sera ya kibiashara na uchumi ya awamu iliyopita. Hivi kweli huyu anafaa kupewa uongozi?

Mwigulu Nchemba amezolea sifa kwenye mitandao za kuchora X kwenye hoja kuntu za wapinzani wa mfumo wa Serikali iliyopita, alisimama kidete kupigia chapuo mfumo wa ukusanyaji Kodi wa mabavu wa Awamu iliyopita, leo anawaambia wafanyabiashara warejeshe imani kwa Serikali na wapeleke fedha benk, simple like that?

Ndugai mtu wa karibu wa Mzee naye anapita kulekule yeye na Naibu wake kukubaliana kwamba mzee alikosea wakati wao ndio walikuwa wapiga makofi na kusifia.

Kabudi aliyekuwa anawaita waliojiweza mabebetu Leo kawa kimya akicheza ngoma kulingana na mfundo. Uprofesa kazi yake nini Kama elimu haiwezi kulipeleka Taifa njia sahihi?

Tukiendelea kuwasifia nakuwaunga mkono watu wa aina hii wataliangamiza Taifa. Tujitokeze nakuwapinga adharani wajue wanakosea. Tuache kuishi kinafiki Kama wanavyotufunza.

Pasaka njema.
Na unafiki unadhihirika hapa
Picha (mabango) za JPM zinatolewa barabarani bila staha huko Dodoma!
 
Mama Samia alisema tu baada ya kuapa kwamba ni wakati wa kutoa tofauti zetu na kujenga taifa lenye umoja Mimi Binafsi nilimuelewa kwahio hawa wote wanafuata kile alichokisema Mama.
Na Mrs.P alisema akimaanisha kweli serikali iliyopita ya Mwendazake ilikua imejaa umabavu na totally absolutism so viongozi hawakupinga chochote walikua NDIO MZEE hata kama ni wanaona wrong.
 
Marehemu POMBE ametuachia taifa likiwa na viongozi wasio na hata Chembe ya uzalendo.
hata wale waliokuwa wanataka raisi aongoze TANZANIA milele ni wanafiki na wachumia tumbo tu
 
Mwinyi alishaga maliza kila zama na kitabu chake ndo maana umeona watu wamebadili giA angani kila mmoja sasa anatafuta ugali kwa mama
Ila Mbunge huyu hana hata chembe ya kificho cha tabia yake. Kila mtawala akija anageuka ghafla na kusahau jana alisema nini. Alishaonekana na waganga lukiki na mabuyu huko kwao kwani wataalamu hakuwaona
 
Legacy ya magufuli itabaki chato tu.picha zake ofisini tunatoa.mabango yake barabarani tunabandua na sera zake tunazipinga .ametupotosha sana yule mzee
 
Kigwangalla ni msomi akiwa Daktari wa binadamu, jana akiwa awamu ya tano alitueleza kupiga nyungu ni sawa na hakukemea mtambo wa Nyungu kuwekwa Muhimbili. Leo siku 17 tangu Mhe. Rais aondoke madarakani anatoka hadharani nakusema ule mtambo uondolewa na tufuate taratibu za kitaalamu. Huyu mtu anaanzaje kuitwa mzalendo au kukabidhiwa madaraka ya kuongoza watu?

Mrisho Gambo miaka yote mitano ya Magufuli alineemeka na alishiriki siasa zote chafu dhidi ya wakosoaji wa mzee. Leo less than 20 days tangu mzee aondoke anajitokeza hadharani kupingana na sera ya kibiashara na uchumi ya awamu iliyopita. Hivi kweli huyu anafaa kupewa uongozi?

Mwigulu Nchemba amezolea sifa kwenye mitandao za kuchora X kwenye hoja kuntu za wapinzani wa mfumo wa Serikali iliyopita, alisimama kidete kupigia chapuo mfumo wa ukusanyaji Kodi wa mabavu wa Awamu iliyopita, leo anawaambia wafanyabiashara warejeshe imani kwa Serikali na wapeleke fedha benk, simple like that?

Ndugai mtu wa karibu wa Mzee naye anapita kulekule yeye na Naibu wake kukubaliana kwamba mzee alikosea wakati wao ndio walikuwa wapiga makofi na kusifia.

Kabudi aliyekuwa anawaita waliojiweza mabebetu Leo kawa kimya akicheza ngoma kulingana na mfundo. Uprofesa kazi yake nini Kama elimu haiwezi kulipeleka Taifa njia sahihi?

Tukiendelea kuwasifia nakuwaunga mkono watu wa aina hii wataliangamiza Taifa. Tujitokeze nakuwapinga adharani wajue wanakosea. Tuache kuishi kinafiki Kama wanavyotufunza.

Pasaka njema.
Hawa wanafanya hayo yote ili mkono uende kinywani
 
Back
Top Bottom