ingekuwa marekani angefungwa,lakini kwa vile aliogopwa na serikali sisi tutaiadibu serikali ya ccm kwa kutumia huyu mfisadi mnayemtamka tu lakini mnaogopa kumshtaki.
Karibuni kwanza wanachelewa.wanakaa kwanza vikao vya nini kuhama chama ni haki yangu ,nikiona sikubaliani na sera ya ccm siwezi kujilazimisha nipate stress za bure.
Hizi tafiti feki zilishaanza kuonyesha mambo wanayotaka kufanya ,ili baadaye wawaaminishe watanzania kwamba hata tafiti zilishaonyesha.Hela ya TANESCO zimeenda wapi -au kwenye kampeni za ccm?Maofisi usalama wa taifa wa nini sasa kwenye tume ya uchaguzi? au nao wameshaanza kuwa maofisa usalama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.