Recent content by damian marijani

  1. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Ushauri jamani, nimepewa taarifa binti yangu wa kazi ni mjamzito

    Mzee pole sana, kumbuka ukifuga kuku akawa rafiki yako, kuna siku tu utatamani kumla.
  2. damian marijani

    JamiiForums Tanzania What Gado says about Covid-19 and Mr Magufuli

    Hicho kikaragosi cha pili ndio kile kinachoitwa Ostrich syndrome, ikimaanisha kuwa kwa kuficha kichwa chini ya ardhi basi watu au wanyama wengine hawamuoni. Wenye kuelewa wantaelewa maana ya kikaragosi hicho
  3. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira

    Crocodile tears, msiyumbishwe wandugu.
  4. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Kilichotokea kijiji cha Kalambwa wilaya ya Chunya siku ya tarehe 14 Septemba 2018

    Kwa maelezo yaliyotolewa, inawezekana mtoto Shuku alingátwa na nyoka aitwaye Puff adder au kifutu ambaye sumu yake inauwa chembehai mwilini na kufanya mwili ubadilike rangi. Kwa maoni yangu sioni kuwa kuna uchawi hapo, kwani mtoto huyo kaenda porini wanapoishi nyoka na uwepo wa ndege...
  5. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

    Namba za magari ni mpangilio wa kuweza kutambua magari kwa sababu za usalama barabarani na kwenye matukio tofauti.Serikali na idara husika huweza kubadilisha mfumo wa namba za magari. Kwa mfano wale tulio "wahenga"magari ya serikali yalikuwa na plate number inayoanzia na GT ikimaanisha...
  6. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Vile sayansi ya mtiririko inavyomtesa na kumwongoza binadam Kuzimu hadi pale anapoikana

    Mbona siku hizi mapenzi ya jinsia moja yameshamiri? Je Coulumbs law hapo imechemsha?
  7. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tanzania tunadaiwa jumla ya shilingi trilioni 8.4 kutokana na kesi kubwa nne za kimataifa

    U.S. firm seeks $561 million from Tanzania in power supply dispute Fumbuka Ng'wanakilala 3 MIN READ DAR ES SALAAM (Reuters) - Symbion Power is seeking $561 million from Tanzania’s state power supplier TANESCO via international mediation, accusing it of breach of contract, the U.S. firm said on...
  8. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Prof. Estomih Mtui: Mtanzania anayefundisha Chuo Kikuu cha Weill Cornell Marekani

    Haina mkuu, anatomy ni kama jiografia ya mwili, yaani ufahamu wa mpangilio wa misuli, mifupa, mishipa ya damu na fahamu, viungo na organs ndani ya mwili wakati biochemistry ni ufahamu wa kemikali ndani ya mwili na jinsi zinavyofanya kazi ndani ya mwili.
  9. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Prof. Estomih Mtui: Mtanzania anayefundisha Chuo Kikuu cha Weill Cornell Marekani

    Naona mleta mada facts zake hazipo sahihi, Prof. Mtui ni professor wa anatomy ni mmoja wa walimu wakongwe wa anatomy Muhimbili, wakati huo safu ya anatomy wakiwepo Prof. Karashani, Kaduri na Magori.
  10. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Madhara ya nyama iliyosindikwa

    Wana JF, heshima kwenu wote, Imekuwa 'fashion' siku hizi kuona watu wengi kupenda kula nyama iliyosindikwa haswa kwa wale ambao wana kipato kinono au hali yao kiuchumi haijayumba. Nyama iliyosindikwa (processed meat) ni nyama ambayo imeongezwa kemikali ili iweze kukaa muda mrefu kwenye shelf...
  11. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Picha ya kufikirisha weekend hii...

  12. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Picha ya kufikirisha weekend hii...

  13. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Ni wapi hapa Tanzania hii...?

  14. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Uchokozi wa serikali ulivyo

  15. damian marijani

    JamiiForums Tanzania Zinauzwa!!...

    Wangeweka na size za akina Le mbebez nao wajisitiri
Back
Top Bottom