Recent content by Damian J Ntundagi

  1. Damian J Ntundagi

    Tag movie kali ya kibongo inayotikisa mwaka huu 2025

    Unakaa kabisa unaangalia bongo movie??
  2. Damian J Ntundagi

    Wachokonozi wapo wapi? Wamesahaulika?

    Hao wapuuzi walikua chawa sana kipindi cha mgomo k/koo waliongea pumba sana walisahau shetani hana rafiki
  3. Damian J Ntundagi

    Ajitokeze mtu aniambie kosa la TEC, nitaweka ukatoloki wangu pembeni tujadili Kwa upole

    Waislamu wengi mitaani hawaikubali bakwata msijichoshe kuwajadili
  4. Damian J Ntundagi

    Msaada wa shule za msingi za serikali za kulipia zilizopo manispaa ya Temeke

    soma tena uelewe kabla ya kujibu anataka shule za serikali za kulipia shule kama mikongeni ,diamond na olympyo
  5. Damian J Ntundagi

    Mbwana Ally Sammata, nimekudharau na sito kuheshimu, una roho mbaya na ni mnafiki we jamaaa, sijapata kuona

    Acha ujinga wewe unafahamu mchango wa waislamu kwenye ukombozi wa tanganyika? Upuuzi wa waislamu wachache usikufanye uwatukane wote
  6. Damian J Ntundagi

    Itapigwa D9 - D17 mwambie na mwenzako

    umeongea jambo la msingi sana waandamanaji lazima wale
  7. Damian J Ntundagi

    PostGE2025 Paroko George Nzungu kwenye mazishi ya Wakili Beatus: Vijana walioenda kuiba gesi na bia kwenye maandamano wana njaa

    wenzake wanadai amelishwa sumu ili kuwatisha mawakili wanaotetea waandamanaji waachane na hiyo kazi
  8. Damian J Ntundagi

    Mnaopanga kuandamana tena

    unafahamu chanzo cha matatizo uliyo nayo?
Back
Top Bottom