Hivi bikra zimeendaga wapi jamani. Mimi nina wasiwasi na wasichana wa leo sijui wanajitoa wenyewe mbona zamani zilikuwa za kumwaga embu funguka wewe.
Msichana unaejiamini umetolewa au umejitoa.
Mwanaume unapomtongoza mwanamke 100% unakuwa unategemea nini kutoka kwake? Maana naonaga 100% wanaume wenzangu wanatongoza wanawake wanakuwa wamewatamani tuu wanahitaji ngono tuu, sasa naomba kuwaambia vijana wenzangu huo sio ujanja ni upumbavu.
Ujanja ni kuwa na mwanamke wako mmoja...
Nataman sana maisha aya sema Wanawake wa cku izi bhana unakutana nae asubuhi jioni anaomba ela ya. Saloon daaaah mpaka nimeamua kuwa mwenyewe tuu. Now Man. Now Love Now Stress
Habarini ma friends,
Natafuta. Msichana anaefaa kuwa mke wa mtu. Anayejitambua. Anaejieshimu. Umri 18-21 dini yoyote. Asiwe Mmbuli Mrangi wala Mnyaturu. Me umri wangu 25. Kama yupo anicheki +255764042165
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.