Asikuzingua bwana yeye anayajua maadili ya kitanzania au anaigiza we2 huna lolote baya ulofanya umetimiza yalokuwemo kwenye mila na desturi za kitanzania kwan zaman si wanawake walikuwa wanavaa kaniki kuficha matiti na tumbo linakuwa nje asa mabega tu umeanza lawama basi hata zaman maadil hayakuwepo
acha uboya we2 tafuta mada nyingine ya kutueleza handsome ndo kitu gan tafuta pesa ndo itaamua kama we2 hand au co lakin maduu kama huna cash watakusumbua tu coz those btch always think s bout mny so mtu wangu just focus on money making i hop umenielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.