bado mie naona mnaongea bila kuelewa chochote! ukweli ni kwamaba nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi wa tanzania bado sana! hazijatangazwa na wala hatujui lini kwasababu tok amwezi wa nane watu wanazungumza uongo tuu! huenda mwaka hu wasichukue mtaani moja kwa moja labda kupitia jkt...
Habari za jioni wanajamii forums! nimefatlia maelezo yenu hapo juu wengine wanakatisha tamaa!!!!!! na wengine wanatia moyo,, ila kiukweli tunazihitaji sana!!!!!! tafadhaali naomba tuzidi kujuzana pindi zitakapotangazwa
wanajamii forums hiyo mada nimeifatilia lakini cjaelewa hiyo on line application ya tra ipo vip!!!!!!!!!! pls nipeni details nami niapplyb pls! au information ipo wap zaid??
wanajamii forums hiyo mada nimeifatilia lakini cjaelewa hiyo on line application ya tra ipo vip!!!!!!!!!! pls nipeni details nami niapplyb pls! au information ipo wap zaid??
eti alikua rais,eti ni mtu walemuweka watanzania kuiongoza nchi,,?? watanzania wa enzi hizo sasa hawapo tena wameshabadilika sana, wew ni kama nani Mkapa unazungumza hayo? fisadi ulieiweka nchi pabaya mpaka tunaonja joto la jiwe kwa sababu yako? watanzania wote kwa ujumla wo ndio wanajua nani...
R.I.P askari wetu jaman.. japo haijajulikana ni wangapi lakini ni kweli kuna alieuawa au waliouawa! hivyo sote kwa pamoja tunasikitika sana kuyasikia hayo maafa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.