Recent content by Dalton elijah

  1. Dalton elijah

    MPYA Ni kweli kunguni, anakaa miezi 18 bila kula na akiwa hai?

    Kumekuwepo na machapisho kadha wa kadha kumuhusu kunguni katika moja ya mjadala inayoendelea kwenye mitandao kupitia tovuti ya Mchinga blog imechapisha kuwa mdudu kunguni anaweza kuishi takriban miezi 18 bila kufa na akaendelea kuwa hai. Katika chapisho ambalo lina nukuu ya jumbe zifuatazo...
  2. Dalton elijah

    FALSE Europe can not depend on the mood of a 79-years-old man. Did president Macron said this?

    A viral post claims that Emmanuel Macron said, “Europe cannot depend on the mood of a 79-year-old man” while speaking about the war in Iran. There is no evidence that Macron ever said these words. The quote does not appear in any reliable or major news sources such as Reuters, BBC, or Al...
  3. Dalton elijah

    SI KWELI Iran imesababisha mlipuko mkubwa umetokea kwenye jengo la mahakama georgia Marekani

  4. Dalton elijah

    MPYA Hili tukio limetokea wapi? Tumia nyenzo za kuthibitisha picha kubainisha Uhalisia wa tukio hili

    Video hii imetengenezwa kwa kutumia Akili Unde ikirejelea matukio ya moto ambayo yalikuwa yanaendelea kuwaka katika Eneo la Nebraska kutoka Nchini Marekani
  5. Dalton elijah

    SI KWELI Dkt. Gwajima amesema Kumusahau Polepole Ni Ngumu Maana Alikuwa Rafiki wa Kweli

  6. Dalton elijah

    SI KWELI Raisi wa FIFA Ametoa Masaa 72 Uongozi wa CAF kujiuzulu

    kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS...
  7. Dalton elijah

    Shirika la Qatar Airways kuhifadhi ndege zake nchini Uhispania

    Shirika la ndege la Qatar Airways limehamisha ndege zaidi ya 20 kuelekea katika uwanja wa ndege wa Teruel nchini Hispania mashariki kwa ajili ya kuhifadhi. Hatua hiyo inatokana na kuongezeka kwa mivutano ya kikanda inayohusisha Irani ambayo imeweka kwenye hatari anga ya Mashariki ya Kati na...
  8. Dalton elijah

    Wapiganaji 5 wa ISIS raia wa Tanzania wakamatwa kwenye operesheni ya ugaidi Puntland, Somalia

    Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Reddit, likionyesha kile kinachodaiwa kuwa ni ripoti iliyotolewa kwa umma kuhusu watu waliokamatwa nchini Somalia wakituhumiwa kushirikiana na kundi la ISIS. Katika ripoti hiyo inayodaiwa kutolewa kwa umma, imeelezwa kuwa...
  9. Dalton elijah

    SI KWELI Bobi Wine amekutana na Rais Donald Trump

    Kumekuwepo na machapisho kadhaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, yakimuonesha aliyekuwa mgombea wa urais nchini Uganda, Bobi Wine, akidaiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump. Hata hivyo, ukweli ni kwamba picha hizo zinazosambaa mitandaoni zimetengenezwa kwa kutumia...
  10. Dalton elijah

    Dkt Ayub Rioba akana tuhuma za yeye kuwa chawa

    Kwa wale walioamua kuendelea kunitukana na kusema mimi 'chawa' na kwamba sasa ninarudi kushika jembe au kusota, nina ujumbe wenu pia! Nilizaliwa ktk familia ya mwalimu wa shule ya msingi. Niliishi maisha ya Mtanzania wa kawaida kabisa. Wali au sukari vilikuwa vitu adimu. Mnavipata tu siku za...
  11. Dalton elijah

    SI KWELI Magari yakibebwa na mafuriko huko Nairobi

    Video kama hii imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde kwa kurejelea matukio halisi yaliyowahi kutokea jijini Nairobi, ambapo inaonyesha magari yakisombwa na maji. Hata hivyo, video hiyo inakosa uhalisia kwa kuwa inaonyesha magari yakiwa yamepinduka, jambo ambalo halilingani...
  12. Dalton elijah

    Serikali kupanga upya walimu kulingana na ngazi za elimu, wenye diploma kufundisha elimu ya msingi

    Kumekuwepo Na Taarifa Ambayo Imechapishwa Katika Mitandao ya Kijamii Hasa Facebook Ikiwa Kuwa Wizara inatarajia Kuja Na Mpango wa Kuwapanga Walimu Kwa Kuzingatia Viwango Vya Elimu Katika Chapisho Hilo Huko Mtandao Lina Habari Kama ifuatavyo ""Serikali imetangaza kuanza kwa mpango wa kuwapanga...
  13. Dalton elijah

    FALSE Yariv Levin has been appointed as the interim Prime Minister of Israel, taking over the leadership role from Benjamin Netanyahu

    There has been a post circulating on Facebook with the caption that Yariv Levin has taken over from Benjamin Netanyahu, who is the Prime Minister of Israel. The post was published with the following caption: "In a major political shift, Yariv Levin has been appointed as the interim Prime...
Back
Top Bottom