A graphic circulating on social media claims that U.S. President Donald Trump warned Kenyans against opposing the establishment of an Ebola isolation centre in Kenya, allegedly stating:
“I have ordered the U.S. Army to set up an Ebola quarantine facility in Laikipia, Kenya within one week. My...
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya ziara ya takribani siku tatu nchini Urusi, kumeendelea kusambaa taarifa zinazoeleza kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sasa linashika nafasi ya 15 au 20 barani Afrika na kwamba halipo miongoni mwa...
Kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa kwenye mtandao wa instagram likiwa na nukuu ambayo inasema kuwa ukraine yashambulia mji ambao rais samia atahudhuria mkutano na putin huko st petersburg nchini urusi
je uhalisia wa video hiyo ni upi ?
Kumekuwepo na picha ambayo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ususani facebook , instgram na x zamani twitter ikimuonesha Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, akionekana kupumzika Miongoni mwa Mahujaji Wakati wa Ibada ya Hajj, Akiwatia Moyo Mamilioni ya Watu kwa Unyenyekevu Wake.
Picha...
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mtandao wa kijamii wa X likidai kuwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anna Makinda, aliwahi kusema kuwa bunge aliloliongoza lilikuwa na wabunge wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua masuala mbalimbali.
Chapisho hilo linadai kuwa wakati wa...
Based on the ongoing situation in South Africa, there have been social media posts claiming that Mozambique has blocked more than 5,000 vehicles that were heading to South Africa.
The posts further allege that this action is a response to what is being done by some South African citizens, who...
Kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mtandao wa Instagram likidai kuwaonyesha baadhi ya raia wa Kenya wakiwapokea wageni wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa wa Ebola.
Katika chapisho hilo imeomekana kuwa na jumbe ufuatao” Marekani itaipatia Kenya USD milioni 13.5 [TZS bilioni 35.5] kwa...
Tanzania has banned the use of the U.S. dollar and other foreign currencies for local transactions as the government moves to strengthen and protect the Tanzanian shilling.
Under the new directive, businesses and individuals will be required to conduct domestic transactions using the local...
A viral image circulating on social media, widely shared by pro-Iran influencer accounts, falsely claims to show Iran publicly hanging “hundreds of Israeli and American soldiers.” However, there is no credible evidence, official report, or verified media coverage confirming such an event ever...
Gabon’s High Authority for Communication (HAC), the country’s media and telecommunications regulator, announced an open-ended suspension of dominant social media platforms to curb what it termed “conflict-inducing excesses.” Facebook and TikTok were no longer available in Gabon on Wednesday...
Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye mitandao ya kijamii likidai kuwa mwanamke mmoja kutoka nchini Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 31 amezeeka ghafla na kuonekana kama bibi mwenye umri wa miaka 80.
Chapisho hilo linaeleza kuwa mwanamke huyo anayefahamika kwa jina la Sinenhlanhla...
Kwa mujibu wa ufuatiliaji wa kidijitali, imebainika kuwa picha hiyo imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde (AI), jambo linaloashiria kuwa si halisi. Uchambuzi unaonesha kuwa ni vigumu kwa binadamu kuweka nguo au kazi nyingine katika nguzo za treni ya umeme kutokana na hatari kubwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.