Recent content by Dalton Elijah

  1. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Botswana’s president apologize to citizens over his visit to Zambia

    There have been viral posts claiming that Botswana President Advocate Duma Boko has apologized to citizens who were unhappy with his decision to attend the inauguration of Zambian President Hakainde Hichilema. It further alleges that President Boko said his attendance was strictly aimed at...
  2. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI video ya watu wakikanda chapati kwa miguu ni halisi?

    Kumekuwepo na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram na Facebook, ikionyesha baadhi ya watu wakidaiwa kuandaa chapati kwa kutumia miguu. Katika video hiyo, watu hao wanaonekana wakikanda unga wa ngano kwa kutumia miguu yao. Moani ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya...
  3. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Polisi wamwagiwa maji nchini Afrika kusini

    Kumekuwepo na video iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kuonyesha raia wakimwagia maji magari ya polisi. Hata hivyo, kichwa cha habari kilichoambatanishwa na video hiyo kinapotosha uhalisia wa tukio. Baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii wameeleza kuwa video hiyo ilirekodiwa...
  4. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI CHADEMA yaanza mazungumzo serikali kuelekea maridhiano

    Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii likiwa na nukuu inayodai kuwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeingia katika mazungumzo na Serikali kwa lengo la kuangalia namna ya kuanza mchakato wa maridhiano, hatua inayolenga kujenga Tanzania yenye...
  5. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI UN yawataka wanawake wawe makini na wanaume kwa sababu, wanaume ni wchache sana?

    Kumekuwepo na ujumbe unaosambazwa kwenye mitandao , hususan WhatsApp, ukidai kuwa Umoja wa Mataifa (UN) ulitoa ripoti katika robo ya kwanza ya mwaka 2025 ikisema kuwa dunia ina watu bilioni 7.8, wakiwemo wanawake bilioni 5.6 na wanaume bilioni 2.2. Ujumbe huo pia unadai kuwa UN iliwashauri...
  6. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Tanzania’s vice president nchimbi resign over alleged interference in zambia’s elections

    Following the resignation announcement by Tanzania’s Vice President, Dr. Emmanuel John Nchimbi, several posts have circulated on social media, particularly in Zambia and other countries, claiming that his resignation was linked to allegations that Tanzania had been involved in sending people to...
  7. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Je, video hii ya watu kuishi chini ya daraja ni halisi?

    Kwa kutumia njia za ufuatiliaji wa kidijitali, imebainika kuwa video inayoonesha baadhi ya watu wakionekana kuweka makazi yao katika eneo la reli ya Standard Gauge Railway (SGR) imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde Uchunguzi umeonesha kuwa video hiyo si tukio halisi, kwani katika...
  8. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Je? ni kweli kuwa makampuni ya Bill gates yanaingiza matunda yasiyokuwa na mbegu Afrika.

    Kumekuwa na madai kwamba Bill Gates na baadhi ya mabilionea pamoja na wanasayansi wanaingiza kwa makusudi katika mfumo wa chakula matunda yasiyo na mbegu au yasiyoweza kuzaliana, kwa lengo la kuwafanya watu wategemee mbegu zinazodhibitiwa na makampuni yao. Katika chapisho hilo, mdai anasema...
  9. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania MIZANIA Ndege wanaweza kukaa kwenye nyaya za umeme bila kupigwa na shoti?

    Kumekuwepo na dai kuwa Ndege wanaweza kukaa kwenye nyaya za umeme bila kupigwa na shoti kwa sababu umeme haupitii kwenye miili yao.
  10. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kikwete aomba Tundu Lissu kuachiwa ndani ya wiki hii maana Tanzania tuna amani.

    Kumekuwepo na machapisho yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii yenye nukuu mbalimbali zinazodaiwa kuwa zimetolewa na viongozi wa nchini Tanzania.Moja ya kurasa hizo ni mjadala tv na siasa za kweli ambazo huchapisha maudhui hayo mara kwa mara
  11. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Zambia ilisajili wapiga kura milioni 14 katika uchaguzi wa mwaka 2026

    Kumekuwepo Chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo Facebook na Instagram, linadai kuwa Zambia ilisajili wapiga kura milioni 14 na kwamba katika uchaguzi huo zaidi ya watu milioni 14 walipiga kura.
  12. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE UN observers confirmed opposition victory in Zambia

    Viral posts and images circulating on social media claim that the United Nations (UN), UN election observers and observers from the Southern African Development Community (SADC) have confirmed that an opposition presidential candidate won Zambia's general election held on 13 August 2026. The...
  13. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Video ya wakati wa kampeni imetumika kuonyesha matukio ya uchaguzi mkuu nchini Zambia

    Kumekuwa na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram, ikiambatanishwa na madai kwamba leo nchini Zambia, siku ya uchaguzi mkuu, polisi wametumia risasi za moto na mabomu ya machozi kuwatawanya wapiga kura katika vituo kadhaa vya kupigia kura kwa tuhuma za uvunjifu wa...
  14. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Je? ni kweli museveni amesema " nililenga kutogombea tena ifikapo mwaka 2031 lakini sioni kuendeleza maono yangu.

    Kumekuwa na chapisho linalosambazwa katika mitandao ya kijamii, hususan Facebook na Instagram, likiwa na nukuu inayodaiwa kutolewa na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni. Nukuu hiyo inasema kuwa “Nililenga kutogombea tena ifikapo mwaka 2031, lakini hadi sasa sioni mtu anayeweza kuendeleza...
  15. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Asante kwa taarifa mkuu
Back
Top Bottom