There have been viral posts claiming that Botswana President Advocate Duma Boko has apologized to citizens who were unhappy with his decision to attend the inauguration of Zambian President Hakainde Hichilema.
It further alleges that President Boko said his attendance was strictly aimed at...
Kumekuwepo na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram na Facebook, ikionyesha baadhi ya watu wakidaiwa kuandaa chapati kwa kutumia miguu. Katika video hiyo, watu hao wanaonekana wakikanda unga wa ngano kwa kutumia miguu yao.
Moani ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya...
Kumekuwepo na video iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kuonyesha raia wakimwagia maji magari ya polisi. Hata hivyo, kichwa cha habari kilichoambatanishwa na video hiyo kinapotosha uhalisia wa tukio.
Baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii wameeleza kuwa video hiyo ilirekodiwa...
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii likiwa na nukuu inayodai kuwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeingia katika mazungumzo na Serikali kwa lengo la kuangalia namna ya kuanza mchakato wa maridhiano, hatua inayolenga kujenga Tanzania yenye...
Kumekuwepo na ujumbe unaosambazwa kwenye mitandao , hususan WhatsApp, ukidai kuwa Umoja wa Mataifa (UN) ulitoa ripoti katika robo ya kwanza ya mwaka 2025 ikisema kuwa dunia ina watu bilioni 7.8, wakiwemo wanawake bilioni 5.6 na wanaume bilioni 2.2.
Ujumbe huo pia unadai kuwa UN iliwashauri...
Following the resignation announcement by Tanzania’s Vice President, Dr. Emmanuel John Nchimbi, several posts have circulated on social media, particularly in Zambia and other countries, claiming that his resignation was linked to allegations that Tanzania had been involved in sending people to...
Kwa kutumia njia za ufuatiliaji wa kidijitali, imebainika kuwa video inayoonesha baadhi ya watu wakionekana kuweka makazi yao katika eneo la reli ya Standard Gauge Railway (SGR) imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde
Uchunguzi umeonesha kuwa video hiyo si tukio halisi, kwani katika...
Kumekuwa na madai kwamba Bill Gates na baadhi ya mabilionea pamoja na wanasayansi wanaingiza kwa makusudi katika mfumo wa chakula matunda yasiyo na mbegu au yasiyoweza kuzaliana, kwa lengo la kuwafanya watu wategemee mbegu zinazodhibitiwa na makampuni yao.
Katika chapisho hilo, mdai anasema...
Kumekuwepo na machapisho yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii yenye nukuu mbalimbali zinazodaiwa kuwa zimetolewa na viongozi wa nchini Tanzania.Moja ya kurasa hizo ni mjadala tv na siasa za kweli ambazo huchapisha maudhui hayo mara kwa mara
Kumekuwepo Chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo Facebook na Instagram, linadai kuwa Zambia ilisajili wapiga kura milioni 14 na kwamba katika uchaguzi huo zaidi ya watu milioni 14 walipiga kura.
Viral posts and images circulating on social media claim that the United Nations (UN), UN election observers and observers from the Southern African Development Community (SADC) have confirmed that an opposition presidential candidate won Zambia's general election held on 13 August 2026.
The...
Kumekuwa na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram, ikiambatanishwa na madai kwamba leo nchini Zambia, siku ya uchaguzi mkuu, polisi wametumia risasi za moto na mabomu ya machozi kuwatawanya wapiga kura katika vituo kadhaa vya kupigia kura kwa tuhuma za uvunjifu wa...
Kumekuwa na chapisho linalosambazwa katika mitandao ya kijamii, hususan Facebook na Instagram, likiwa na nukuu inayodaiwa kutolewa na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni. Nukuu hiyo inasema kuwa
“Nililenga kutogombea tena ifikapo mwaka 2031, lakini hadi sasa sioni mtu anayeweza kuendeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.