Recent content by Dalton Elijah

  1. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Video ya wakati wa kampeni imetumika kuonyesha matukio ya uchaguzi mkuu nchini Zambia

    Kumekuwa na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram, ikiambatanishwa na madai kwamba leo nchini Zambia, siku ya uchaguzi mkuu, polisi wametumia risasi za moto na mabomu ya machozi kuwatawanya wapiga kura katika vituo kadhaa vya kupigia kura kwa tuhuma za uvunjifu wa...
  2. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Je? ni kweli museveni amesema " nililenga kutogombea tena ifikapo mwaka 2031 lakini sioni kuendeleza maono yangu.

    Kumekuwa na chapisho linalosambazwa katika mitandao ya kijamii, hususan Facebook na Instagram, likiwa na nukuu inayodaiwa kutolewa na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni. Nukuu hiyo inasema kuwa “Nililenga kutogombea tena ifikapo mwaka 2031, lakini hadi sasa sioni mtu anayeweza kuendeleza...
  3. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Asante kwa taarifa mkuu
  4. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Isaiah Yunge, ametoa shilling billion 7 za kenya ili kufanikisha ndoa yake charlene Ruto

    Kumekuwa na machapisho kadhaa yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya na Tanzania, yakidai kuwa kijana Mtanzania, Isaiah Yunge, ametoa zaidi ya shilling billion 7 za Kenya ili kufanikisha ndoa yake na bintiye William ruto huko nchini Kenya Miongoni mwa machapisho hayo kuna ujumbe...
  5. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Picha za raia wa Afrika Kusini wakishindwa kufanya kazi viwandani ni halisi?

    Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na picha zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan nchini Afrika Kusini, zikidaiwa kuwaonyesha raia wa nchi hiyo kushindwa kufanya kazi za viwandani kufuatia kuondoka kwa idadi kubwa ya wahamiaji ambao hawakuwa na nyaraka halali za kuishi na...
  6. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, ni kweli viongozi hawa walitoa nukuu hizi zinazodaiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii?

    Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na machapisho mbalimbali yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii yakiwa na jumbe zinazodaiwa kutolewa na baadhi ya viongozi, hususan wa nchi za Afrika Mashariki na Afrika ya Kati. Mojawapo ya machapisho hayo linadai kuwa aliyekuwa Rais wa Kenya, Uhuru...
  7. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Mbeya wanachama CHADEMA wameandamana kuwa Heche awapishe, hawamtaki

    Kumekuwepo na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kuwa inaonesha baadhi ya wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga uwepo wa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche. Video hiyo imeambatana na ujumbe unaosema:"CHADEMA wamefanya maandamano makubwa wakitaka Makamu...
  8. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania KWELI Rais Samia amesema tumekopa mkopo huu, lakini mtalipa nyie

    Kume Kuwepo na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, iki ambatana na nukuu inayodai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alisema: "Tumekopa mkopo huu, lakini mtalipa nyie.
  9. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video ya Hashim Rungwe: avujisha siri wamelipwa kushiriki kikao na samia ni ya Julai 30, 2026?

    Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram, likidai kuwa Hashim Rungwe amefichua siri kwamba viongozi wa vyama vya siasa walilipwa fedha ili kushiriki kikao kilichoitishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan. Chapisho hilo...
  10. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Minister Pemmy Majodina : there will be no water on earth in the year 2086. people must start adapting now...

    South Africa's Minister of Water and Sanitation, Pemmy Majodina, said that there will be no water left on Earth by the year 2086 and urged people to start adapting to a "dry lifestyle."
  11. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Kitima amshukia vikali Nchimbi, anaigiza na kutudanganya. Je, kuna ukweli hapa?

    Kwa nyakati za hivi karibuni, Padri Charles Kitima hajafanya mahojiano na chombo chochote cha habari. Kutokana na ufuatiliaji uliofanyika, video inayosambazwa kwa sasa si ya hivi karibuni, bali ni video ya zamani ambayo imetumika nje ya muktadha wake ili kuhusishwa na matukio ya sasa.
  12. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Askofu Dkt. Benson Bagonza amesema , "Nchimbi ni CCM anaongelea akiwa mbele ya sufuria ya nyama, kwamba tupambanie chakula. Jiuzulu tukuamini."

    Katika siku za hivi karibuni, baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, kuzungumzia suala la Katiba Mpya, kumekuwa na usambazaji wa picha zenye maandishi (graphics) kwenye mitandao ya kijamii zikimdai Benson Bagonza amesema: "Nchimbi ni CCM anaongelea akiwa...
  13. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Jakaya Kikwete amesema ,usitegemee katiba mpya sasa hivi, watanzania tujikite katika kujenga nchi yetu"?

    Kumekuwepo na graphic inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alisema:"Usitegemee katiba mpya sasa hivi. Watanzania tunatakiwa tujikite katika kujenga nchi yetu." Katika ufuatiliaji uliofanywa kwa kutumia...
  14. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video hii ya magari yakisaidiana ni halisi

    Kumekuwa na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa dereva mmoja alimsaidia mwenzake ambaye gari lake lilipata hitilafu ya tairi moja. Katika video hiyo, dereva huyo anatajwa kuwa shujaa kutokana na hatua yake ya kumsaidia mwenzake.
  15. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais samia: Natamani muda wangu uishe

    Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la usambazaji wa nukuu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii zinazodaiwa kutolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Mojawapo ya nukuu hizo, iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook, inamdai Rais Samia amesema...
Back
Top Bottom