Recent content by Dalton elijah

  1. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE U.S. President Donald Trump Threaten Kenyans Opposing an Ebola Isolation Centre

    A graphic circulating on social media claims that U.S. President Donald Trump warned Kenyans against opposing the establishment of an Ebola isolation centre in Kenya, allegedly stating: “I have ordered the U.S. Army to set up an Ebola quarantine facility in Laikipia, Kenya within one week. My...
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Video inamuonesha raia wa China akitembea juu ya maji

  3. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Vladimir Putin amesema atahakikisha Tanzania inakuwa namba moja kwa nguvu za jeshi Afrika

    Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya ziara ya takribani siku tatu nchini Urusi, kumeendelea kusambaa taarifa zinazoeleza kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sasa linashika nafasi ya 15 au 20 barani Afrika na kwamba halipo miongoni mwa...
  4. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania KWELI Ukraine yashambulia mji ambao rais Samia atahudhuria mkutano wa uchumi na Putin huko st petersburg nchini urusi

    Kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa kwenye mtandao wa instagram likiwa na nukuu ambayo inasema kuwa ukraine yashambulia mji ambao rais samia atahudhuria mkutano na putin huko st petersburg nchini urusi je uhalisia wa video hiyo ni upi ?
  5. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, akionekana kupumzika Miongoni mwa Mahujaji Wakati wa Ibada ya Hajj

    Kumekuwepo na picha ambayo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ususani facebook , instgram na x zamani twitter ikimuonesha Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, akionekana kupumzika Miongoni mwa Mahujaji Wakati wa Ibada ya Hajj, Akiwatia Moyo Mamilioni ya Watu kwa Unyenyekevu Wake. Picha...
  6. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Anna Makinda amesema Lissu sio wa kwenda kuhojiana naye, ni wa kwenda kukubalina naye anachosema

    Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mtandao wa kijamii wa X likidai kuwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anna Makinda, aliwahi kusema kuwa bunge aliloliongoza lilikuwa na wabunge wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua masuala mbalimbali. Chapisho hilo linadai kuwa wakati wa...
  7. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania TRUE Elias Hazrati has denied reports by what he described as “some foreign media outlets” claiming that President Masoud Pezeshkian has resigned

  8. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Mozambique blocks over 5,000 South African trucks passing through Its country

    Based on the ongoing situation in South Africa, there have been social media posts claiming that Mozambique has blocked more than 5,000 vehicles that were heading to South Africa. The posts further allege that this action is a response to what is being done by some South African citizens, who...
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Wakenya wakipokea wagonjwa wa ebola kutokea Marekani katika uwanja wa ndege wa Jomo kenyata

    Kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mtandao wa Instagram likidai kuwaonyesha baadhi ya raia wa Kenya wakiwapokea wageni wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa wa Ebola. Katika chapisho hilo imeomekana kuwa na jumbe ufuatao” Marekani itaipatia Kenya USD milioni 13.5 [TZS bilioni 35.5] kwa...
  10. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Did Cambodia Order All Africans to Leave the Country?

  11. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Tanzania has officially banned the use of the US dollar and all foreign currencies for domestic transactions

    Tanzania has banned the use of the U.S. dollar and other foreign currencies for local transactions as the government moves to strengthen and protect the Tanzanian shilling. Under the new directive, businesses and individuals will be required to conduct domestic transactions using the local...
  12. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Iran captured and hanged dozens of U.S and Israeli soldiers

    A viral image circulating on social media, widely shared by pro-Iran influencer accounts, falsely claims to show Iran publicly hanging “hundreds of Israeli and American soldiers.” However, there is no credible evidence, official report, or verified media coverage confirming such an event ever...
  13. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania The Cost of Digital Blackouts: Gabon Orders Indefinite Suspension of Facebook and TikTok Amid Security Concerns

    Gabon’s High Authority for Communication (HAC), the country’s media and telecommunications regulator, announced an open-ended suspension of dominant social media platforms to curb what it termed “conflict-inducing excesses.” Facebook and TikTok were no longer available in Gabon on Wednesday...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Je, Ni kweli mwanamke wa miaka 31 amedaiwa Kuzeeka ghafla na kuonekana kama bibi wa miaka 80?

    Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye mitandao ya kijamii likidai kuwa mwanamke mmoja kutoka nchini Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 31 amezeeka ghafla na kuonekana kama bibi mwenye umri wa miaka 80. Chapisho hilo linaeleza kuwa mwanamke huyo anayefahamika kwa jina la Sinenhlanhla...
  15. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Huyu aliyefua na kuanika nguo, je hapa ni daraja la Kijazi Ubungo?

    Kwa mujibu wa ufuatiliaji wa kidijitali, imebainika kuwa picha hiyo imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde (AI), jambo linaloashiria kuwa si halisi. Uchambuzi unaonesha kuwa ni vigumu kwa binadamu kuweka nguo au kazi nyingine katika nguzo za treni ya umeme kutokana na hatari kubwa ya...
Back
Top Bottom