Sikumbuki mtaa vizuri, but ukiwa mtaa wa msimbazi kuelekea police station, unahesabu kama mitaa miwili kushoto halafu unakatisha kwenda kukutana na aggrey street. Ukifika maeneo hayo ulizia Tesha, wengi wenye maduka wanamfahamu. Hata Mimi nilielekezwa kwa style hiyo.. So try
Nenda pale Kariakoo mtaa wa Agrey, kuna jamaa mmoja anaitwa Tesha anauza radio, TV, na ni fundi electronics, ukiulizia hilo jina atakusaidia. Nilikua na namba yake,but nimeshapoteza..
Hello wadau wote wa JF, napenda kufahamu ni wapi hapa Dar ninaweza ku-change ile mikanda ya Matofali (VHS) kuwa DVDs? ninaomba msaada kujuzwa kwa yeyote yule mwenye kufanya hiyo kazi au kama una-fahamu popote uniambie, ninashehena kubwa nataka kuichange. Pia ikiwa unafahamu bei ya ku-change VHS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.