Acha kurukia usiyoyajua mpendwa. Niko ibadani hapa Kimara. Bwana Yesu ananihudumia. Kuna umati mkubwa wa watu hapa. Yesu anawagusa. Yeye ni mwema. Unamjua? Mtafute. Acha maneno yasiyo na maana. Utasusa wewe. Shauri yako. Pole sana
Wewe mleta uzi unatumiwa na shetani. Kimara kuna kazi kubwa zinazofanyika. Ambazo ni mfano wa kuigwa. Mbona hujazisema hizo? Alafu nyuma yako umefuatwa na kundi kubwa la watu wenye mawazo hasi, waliokwama. Wanakufuata kama nyumbu. Shauri yenu. Chongeni sana. Sisi tunamtukuza Mungu alie hai...
Mkuu JembeNaNyundo asante kwa tahadhari unayotoa. Ni kweli inapaswa kwenda kwa tahadhari sana. Ila naomba nikuulize kwa nia njema tu. Unaposema si kila raia unamaanisha nini Kwa nia njema tu. Unaposema si kila raia kwa kweli sijakupata. Manake ninavyoelewa mimi mtu yoyote akijifunza chochote...
Ontario asante sana. Nasubiri hiyo opportunity ya kujifunza. Hata kama isingekuwa free I would be willing to pay. Again thanks. Waiting for more information.
Wataalam nashukuru sana kwa ushauri wenu mzuri. Kuna udongo ambao unaitwa diatomite. Unafaa sana kudhibiti wadudu kwenye mazao. Ni udongo ambao una vichembechembe vidogo vidogo ambavyo huingia kwenye mwili wa mdudu na kumchana.
Faida kubwa za diatomite ni kama tatu:
- Unafanya kazi vizuri na...
Salam wanajamvi. Naomba ushauri wa kilimo cha miwa. Niko Dar, na ninafikiri kufanya kilimo hicho Bagamoyo au Kigamboni. Maji ya kumwagilia yatakuwepo:
- Mbinu za kilimo bora cha miwa
- Makadirio ya uzalishaji kwa ekari
- Mbegu nzuri ya miwa (laini na inayokomaa kwa muda mfupi) inapatikana wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.