Nafikiri wao wanalenga kwamba uombee ajira ile sifa uliyonayo kwa wakati huo...hizi za chini ulizopitia zinakuwa ni sawa na added advantage na kunogesha CV
Shida kubwa iliyopo katika Zama hizi ni kwamba usalama wa Taifa waliopewa jukumu la kulinda nchi na wenyewe siku hizi CYO wazalendo tena wanatafuta utajiri...thus why mambo hayaendi kila sehemu Hali ni tete.......
Tuzidishe maombi Ili Mungu mwenyewe ndio awe mlinzi wetu mkuu na wa pekee....
Wazo ni zuri lakini hili Jambo linahitaji busara Sana na wazee wameona na kupitia mengi kwahiyo wapo katika nafasi nzuri ya kuona penye mapungufu na kushauri.
Cha msingi ni kufanyia Kazi ushauri na mapendekezo kama ni mazuri tusiangalie yametolewa na nani au wakina nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.