Recent content by Dalali wa Mjini

  1. Dalali wa Mjini

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Wewe ndio umesema ajabu mwanamke huyo ndio anaongoza Taifa. Wee jamaa bana
  2. Dalali wa Mjini

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Sababu ya kumjua kiundani kiumbe kilichoumbwa
  3. Dalali wa Mjini

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Inawezekana ilikujuta Jambo kwa Hawa viumbe. Nilikutana na mama kwenye bajaji naweza kumuita mama sababu ya umri wake ni 60+ Nilimuuliza Dunia yenu na ya Sasa ipi ni nzuri alijibu Ile ya kwetu ilikuwa haina usafiri Wala barabara nzuri kama hivi lakini tulikuwa tunaishi Kwa amani. Hata kwenye...
  4. Dalali wa Mjini

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Upo na Mimi kabisa. Nasoma huku nikijiuliza huyu ameyajua vipi ya wanawake au yeye ni mwanamke pia.Siri ya binadamu anaijua yeye mwenyewe lakini haya kayatoa wapi? Basi tuseme ndugu yetu ni Alien
  5. Dalali wa Mjini

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Tafuta nyumba za BNB kaka ipo moja one bedroom box moja Kwa siku
  6. Dalali wa Mjini

    Natafuta Master Room Dar Es Salaam

    Wacha nimpigie nimuungaishe
  7. Dalali wa Mjini

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Fanya mambo mengine huyu atakuumiza akili
  8. Dalali wa Mjini

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Mwenye pesa halalami namna hiyo mkuu wa Kazi.
  9. Dalali wa Mjini

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Umejibu kwa mhemko mkuu na Wewe ni platinum member. Ungejibu Kwa akili basi ningekuelewa kabisa mkuu. Mimi nipo tofauti na madalali wengine kabisa na ndio mana humu huwezi kukuta naleta Kazi ya kupangisha mara Kwa mara sababu Mimi sio dalali wa kupangisha nyumba au vyumba. Mara nyingi wapo...
  10. Dalali wa Mjini

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Nilipata mmoja hivi. Akaanza kunipa matatizo ya mwanane mbaya Zaidi anampa mwanae simu ongea na baba ako.Single Maza bana.Alafu unaona ni binti ambaye ameyakanyaga mwenyewe.
  11. Dalali wa Mjini

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Wewe ndio unasema hivyo Mzee wangu
Back
Top Bottom