Recent content by Daisam

  1. D

    Namwona JPM ndani ya Makonda na Makonda ndani ya JPM

    Nimefuatilia sana ziara za Makonda. Nilichogundua ni kwamba, ukiachilia mbali siasa lakini kwa zaidi ya 75% Makonda anafanana sana na JPM. Anafanana katika kusikiliza kero za Watanzania na kuzitafutia ufumbuzi wa papo kwa papo. Lakini pia anakemea uzembe unaofanywa na watumishi wa umma. Kwa...
  2. D

    Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

    R.I.P Mwamba wa Afrika, JPM. We shall never forget you, Dad.
  3. D

    Kusema kweli Magufuli alikuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania

    R.I.P. Mwamba wa Afrika, JPM.
  4. D

    Waliolazimisha watu kupewa chanjo ya Corona wakamatwe

    Tangu tuondokewe na Mtumishi wa Mungu, kipenzi cha Watanzania, bado Tanzania haijapata kiongozi wa kuiongoza. Lakini Mungu ni mkubwa. Kwa muda wake atatuletea kiongozi anayefaa kuiongoza Nchi hii. Mungu mkubwa.
  5. D

    Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

    Afadhali sense tu huko. Akirudi tutarajie Tume huru ya Uchaguzi inaanza mchakato, DP World nao wanapigwa chini. Huko anakwenda kukalia kuti kavu kwa Boss wa Marais wote Duniani.
  6. D

    PreGE2025 Uongozi ni karama ya kuzaliwa, Paul Makonda anaendelea kulithibitisha hilo

    Hongera sana mh. Paul Makonda. Ungekuwa na mamlaka ya juu zaidi, kukatika kwa umeme kusingekuwepo, ubabaisha katika kazi za umma usingekuwepo kama ilivyokuwa wakati wa JPM. Mungu azidi kukupa nguvu na kukulinda.
  7. D

    Nimekuta watumishi wa umma Ofisini wakiogopa sana ujio wa Makonda

    Nimepita katika Ofisi kadhaa za umma ikiwemo Hospitalini. Nimekuta watumishi wa umma katika Ofisi hizo wakiogopa sana ujio wa Makonda kama ilivyokuwa wakati wa JPM. Nimekuta wengi wakijiweka sawa kwa kuandaa mazingira yao ya kazi vizuri kwa kuhofia kutumbuliwa. Najiuliza, Makonda ni JPM mwingine?
  8. D

    Bandari imemshinda rais akapewa mwarabu, je na umeme nao umemshinda?

    Kipindi cha Jiwe hakukuwa na mgao wa umeme.
  9. D

    Watanzania wengi ni wanafiki sana

    Kazi ya Maandamano iliyofanyika jana ni kazi tukufu kabisa. Huo ni mwanzo tu. Maandamano yajayo yatakuwa na watu wengi zaidi.
  10. D

    PreGE2025 Rais Samia ajiuzulu na kama hataki kujiuzulu basi asigombee tena, ni janga kwa Taifa kiuchumi na kiustawi wajamii!

    Kwa kifupi kabisa, Mama amepoteza kabisa mwelekeo. Shida yake kubwa ni kukaribisha MAJOKA chumbani. JPM aliyafukuza MAJOKA yoye na hakutaka kuyapa nafasi kabisa, lakini mama alipopata tu nafasi hiyo akayatafuta MAJOKA yote popote yalipokuwa na kuyasogeza miguuni pake. Sasa yanalitafuna Taifa...
  11. D

    PreGE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

    Uwezo wake wa kufikiri mambo kiyakinifu ni mdogo mno. Kwa ujumla mpaka sasa ameshafeli kwa kiwango cha Kimataifa.
Back
Top Bottom