Wanatupigia kelele kila siku, ohhh sijui Magufuli ni dikteta, haya ona sasa, ndio hayo ya mchawi mpe mwanao akulele, dah!!
Ukitaka kujua tabia ya binadamu mpe madaraka tu, simpo.
Katika Habari ya Saa ya ITV, iliyorushwa saa 6 mchana, imemnukuu Mkuu wa Utendaji Kivita na Mafunzo wa JWTZ, Meja Jenerali Alfred Kapinga akitoa ratiba ya Mazoezi ya Pamoja ya Kijeshi ya Nchi za Afrika Mashariki, ambapo alieleza kuwa, yanatarajiwa kufanyika mkoani Tanga kuanzia Novemba 5-21...
Aliyekuwa Katibu wa Ngome ya Wanawake wa ACT, Ester Kyamba
Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mna o tarehe 28.10.2018, anadaiwa kumvua uongozi, Katibu wa Ngome ya Wanawake wa ACT-Wazalendo, Ester Kyamba kwa madai ya kuhoji uhalali wa Dorothy Semu kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeyagawa ‘kimya kimya’ makontena 20 ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda yaliyokuwa yakishikiliwa na mamlaka hiyo.
Septemba 5, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo, Richard Kayombo alieleza kuwa iwapo uamuzi wa kuyagawa...
Gazeti la Mwananchi limejichanganya katika taarifa yake iliyopo Front Page baada ya kudai kuwa, Kamati Kuu ya CCM, imetoa siku 46 hadi Disemba 15 kwa Wabunge na madiwani wa Upinzani wanaotaka kuhamia CCM.
Hata hivyo, katika Video iliyotolewa na Katibu Mwenezi, Humphrey Polepole, imeeleza kuwa...
Hakuna Nchi yoyote duniani (zaidi ya City States) iliyowahi kuendelea kwa sababu ya kukumbatia demokrasia, isipokuwa kinyume chake. Hakuna Nchi yoyote duniani iliyoshindwa kuingia kwenye demokrasia baada ya ku-undergo maendeleo ya kiuchumi, full stop.
Uko sawa kabisa. Hao jamaa wanfesumbukia vitukio vya namna hiyo tungekuwa tukiona Wamarekani na Wazungu, pamoja na Waarabu ndio wakikamatwa kila siku.
Unfortunately, ICC inawa-deal sana Waafrika coz imebase kwenye uhalifu wenye motives za kisiasa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.