Zitto Kabwe amvua uongozi Katibu wa Wanawake, Ester Kyamba kwa kuhoji uhalali wa Dorothy Semu kukaimu kwa muda mrefu kiti cha Katibu Mkuu wa ACT

Daimler

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
556
973
IMG_9849.JPG

Aliyekuwa Katibu wa Ngome ya Wanawake wa ACT, Ester Kyamba

Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mna o tarehe 28.10.2018, anadaiwa kumvua uongozi, Katibu wa Ngome ya Wanawake wa ACT-Wazalendo, Ester Kyamba kwa madai ya kuhoji uhalali wa Dorothy Semu kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo kwa muda mrefu.

Inaelezwa kuwa, Dorothy Semu amekaimu nafasi ya a Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo tangu Mwezi Juni 2016, kinyume na Katiba ya Chama hicho inayoeleza kuwa, mtu yeyote anaweza kukaimu nafasi hiyo kwa muda usiozidi mwaka mmoja.
Hata hivyo, Dorothy amekaimu kitu cha ukatibu mkuu kwa muda wa miaka miwili na robo.

IMG_9848.JPG
 
Eti Zitto naye anaiga yale yae ya wenzake. Chama ni chake! Asihojiwe kwa kuamini hayo ndo madaraka wakati kisha achiwa chama.
 
Back
Top Bottom