Tatizo laweza kuwa hili, wakati umeshampata mama mwenye mtoto huwa unazidisha mbwembwe kwenye kila kitu kinachomhusu mtoto, so mama anasoma zaidi ya aonavyo, anaanza kuwa na mashaka whether umempenda vile alivyo au unamwogizia, kwa kutokuwa na uhakika na majibu apatayo anaingiwa waoga na...
Mwanamme msimamo!!
mwanamke wa shoka humfurahia mwanamme anayesimama na ‘The right thing’
Sababu anajua siku moja mume atalazimika kusimama naye, akiwa anayumbishwayumbishwa huweza kumtelekeza kiwepesi zaidi hata huyo aliyepo pindi akipata chungu kipya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.