Recent content by Dady Joh

  1. D

    Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

    😀 unataka umuagizie mkuu?!
  2. D

    KERO Wahudumu wa kivuko cha KIGONGO -BUSISI Mwanza wanadhulumu wananchi

    Kwa siku wanavuka watu 5,000, unadhani wanaondoka na kiasi gani mkuu?!
  3. D

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Aisee 😂😂😂😂😂, huu msisitizo ulivyo basi kuna jambo limekukuta mkuu, pole.
  4. D

    KERO Wahudumu wa kivuko cha KIGONGO -BUSISI Mwanza wanadhulumu wananchi

    Kero yangu ipo upande wa kivuko cha KIGONGO - BUSISI, pale nauli ya kivuko kwa abiria mmoja ni 400, lakini ukienda pale wanakata 500, wanaadai hawana chenchi, Hii inaumiza wananchi sababu bei halali iliyoandikwa kwenye risiti ni tofauti na anayotozwa mwananchi kwa kigezo cha kukosa chenchi...
Back
Top Bottom