My be mfumo wa microchip umenza kaz yake maana hata hii technology ya smart phone hazitaki kuoparate kwa kijiti Ila finger touch ama mlango kufunguka wenyewe ukiukaribia mmm pengine maandiko yameti100
Magonjwa ya U.T.I kisonono Kaswende.Kichocho na mengine mengi yanatambulika kupitia kupima mkojo.ni kwa fikra zangu je VIP ukinywa mkojo na pengine upo ktk maambukizo ya magonjwa hayo bila kujua si ndo kupeleka bacteria tumbon tena au..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.