Yule shehe wa Kenya alitabiri kama ya Uchaguzi Mkuu kuwa Samia ataua tena kwa maelfu, halaf kutatokea tetemeko na mvua kubwa kunyesha na hapo ndiyo utakuwa mwisho wake; na ukiangalia ni sahihi, yupo kwenye posture ya kuua zaidi shenzy zake shetani huyu
Museveni aliyempa maharamia ya kuja kuua watoto wa Tanganyika yeye alimaliza Uchaguzi uliokuwa na mikiki mikiki yote lakini hakuua hata mbu.
Kagame alishangaa unawezaje kuua watu ambao kimsingi unapaswa kuwalinda ili kupata madaraka? Na ndiyo sababu yeye na vijana wadogo wa Rwanda nyakati hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.