1. Wasaidizi wanaokushauri ujirekebishe; list ni ndefu hapa tunaweza kuwataja akina Bashiru, Ndugai, Polepole, Makamba, Simbachawene, Majaliwa, Philip Mpango na leo hii Nchimbi.
2. Mataifa ya nje… hii haijapata kufafanuliwa ni mataifa yepi hasa (basi tuseme dunia yote).
3. Vijana wa Tanzania...
Alituasa Nyerere:
“Ukishakula nyama ya mtu, hutaacha kuila”
Huyu Samuya huyu, bila shaka mwanae kamroga; hana soni wala haya usoni kwake. Baada ya wiki 2 tutaanza kuimba, BRING BACK NCHIMBI.
Tuna matumaini kwa sababu tunaona yote yanayofanywa na Samia na mwanae Abdul ni ghilba, ushenzy na ujinga mtupu; sasa tukose AMANI kisa nini? With time tutawasaga saga kama tembo anavyosaga binadamu wajinga
Idi Amini Dada
Mengistu Haile Mariamu
Bokasa
Habyarimana
Miçombero
Mobutu
Agusto Pinochet
Hitler
Historia ipo wazi sana….hao wote nimewataja Madikteta wa Kihistoria kupata kutokea katika Bara la Afrika na duniani wamekufa wote tena vifo vibaya, na uzao wao umefutika.
Sasa nikirudi hapa kwetu...
Maandamano ni Tarh 29 Oktoba, siku ya Ukombozi wa Tanganyika; Ikumbukwe CCM kwa miaka takribani 10 sasa wamefuta sherehe za Uhuru wa Tanganyika tarh 9 December; Kwa sasa tutaadhimisha tarh 29 Oct
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.