Recent content by dadadada

  1. D

    Ujumbe wa Dr. Chris Mauki

    Umeongea point saana chris mauki utakuta mwanaume mwengine kazi yake kukusisitiza mnaonana lini ili ale mzigo ukimwambia naomba unisaidie anasema mambo yangu hayajakaa vizuri inapita miezi lakini kutaka kuonana nawewe yupo radhi atoe chochote kile ila kukusaidia wewe hata kama unatatizo hatoi...
  2. D

    Mada Huru: Ni Mtangazaji yupi anayekuboa zaidi?

    Gerald hando simpendi anamisifa sana na yule mdada mdada east africa radio anatangaza na zebwela anaitwa ritha chiwalo yaani hajui kabisa kutangaza
  3. D

    Bomoa bomoa ipo pale pale, mnachofanya ni kuchelewesha

    Naona halijakupata ndo maana unaongea hivyo
  4. D

    ITV wanadhoofisha bomoabomoa ya Magufuli?

    Binafsi naona hawatendi haki hata kidogo kwasababu sehem zingine wanazobomoa ni zaidi ya mita60 utakuta sehem labda mita150 na zaidi lakini bado wanabomoa wanatakiwa watende haki kabla ya kubomoa wanatakiwa wapime wajue hii sehem sahihi au hapana hao wanabomoa bomoa sio haki kabisa wanawaonea...
Back
Top Bottom