Recent content by dada shija

  1. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Mm ni mgeni sina ujuzi sana wa jf
  2. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Sina miaka 45 Nina 23.....
  3. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Zinatugarim sana mpendwa ila sasa sitaki kuwasikia vyovtote waamue tu
  4. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Za kawaida Tu kulipwa kwa kutwa Ni malengo Tu mkuu ninaamini Tu siku moja nitarudi kuendelea na shule.
  5. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Asante dada nitamtafuta.
  6. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Asante mpendwa kwa ushauri.
  7. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Asante kwa ushauri ubarikiwe
  8. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Ni kweli ndugu usemayo inaumiza sana
  9. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Asanteni kwa ushauri yani hata raha sina kila nikikumbuka vituko vyao
  10. dada shija

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    MIMI NI BINTI Nimejitokeza hapa kuomba msaada wa mawazo kwa jambo hili ninalopitia. Mwaka 2013 kipindi hicho nilikuwa mkoani mwanza kimasomo na nilikuwa nikijiandaa kuanza mtihani wa kumaliza mwaka wa kwanza, nakumbuka ilikuwa Jumapili nilipigiwa simu baba yangu amefariki hivyo kupelekea...
  11. dada shija

    JamiiForums Tanzania Ajira Tanzania ni kitendawili, fanya haya ukitaka usifedheheke bure

    Kujiajiri kunalipa sana sema uoga Wa MTU Tu nakujifanya matawi Napenda kujiajiri Nimejiajiri Mambo ya kazi mpka Uvuliwe nyupi [emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]
  12. dada shija

    JamiiForums Tanzania Kusimamia ukucha..

    Wanaume wenyewe hawa Wa chipsi mayai na sprite;) Anasimamia ukucha kwa mwaka Mara moja..:D:D:D
Back
Top Bottom