Recent content by Daata

  1. Daata

    Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Sijaona hoja yako hata moja zaidi ya kushambulia mtu. You know nothing.
  2. Daata

    Mwanamke wangu hanitaki

    Tafuta kitu cha kufanya usihangaike kumrudisha. Mambo yako yalikaa sawa mwenyewe atarejea.
  3. Daata

    Amenichamba kimatumbi! Who are me?

    Sure, you were younger some years and certainly you will get older
  4. Daata

    Hongera Samia, umezungumza kama RAIS, AMIRI JESHI na MZALENDO

    Mgawanyiko unalazimishwa kwa giant zote
  5. Daata

    Kanisa Katoliki na Tsh Bilioni 19

    Ukiacha utajiri wa kanisa Katoliki, pia ni kanisa lenye mifumo dhabiti ya kiuongozi, kutoka ngazi ya jumuia hadi jimbo, na hutasikia migogoro yoyote ya kimasilahi.
  6. Daata

    Waandi wa habari wa Tanzania

    Huo ndio ukweli.
  7. Daata

    Waandi wa habari wa Tanzania

    Mi nina imani kuwa pamoja na waandishi wanaoitetea serikali moja kwa moja, bado tuna hazina ya waandishi wenye uzalendo wa kutoa taarifa za kiuchambuzi lakini mazingira yamewalazimu kuwa wa upande moja. Nchi hii ukisubiri taarifa upewe na serikali utapata iliyochujwa, lakini waandishi wetu...
  8. Daata

    Waandi wa habari wa Tanzania

    Akija bongo mazingira yake ya kufanya kazi yatakuwa magumu na mwishowe atabaki kasuku wa serikali.
  9. Daata

    Waandi wa habari wa Tanzania

    Wakuu haki na amani iwe kwenu. Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na lawama kwa waandishi wa habari wa Tanzania baada watu kuona kuwa wanaripoti habari zenye mwelekeo moja wa kuitetea serikali na kunyamazia habari zote zinazokosoa au zenye tafsiri hasi kwa serikali. Habari za kiuchunguzi dhidi...
  10. Daata

    I thought we are going to critically analyze the CNN report, but who am i?

    Waandishi wa habari wa Tanzania wako chini ya uangalizi mkubwa. Wakijikoroga tu chombo chao kinafungiwa kwa sheria za TCRA
Back
Top Bottom