Recent content by Daata

  1. Daata

    JamiiForums Tanzania Funzo katika sakata la watu kudai kuibiwa Nyeti

    Wewe msimamo wako ni upi. A. Nyeti kuibiwa ni kweli. B. Hakuna kitu kinaitwa kuibiwa nyeti bali ni propaganda za kutisha watu
  2. Daata

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Tangu nisikie ukishikwa bega nyeti zinapotea nimekuwa makini, sina mali nyingine

    Natamani tupate ushuhuda moja wa aliyeibiwa nyeti zake tuone inafananaje
  3. Daata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unataka kumfanyia mwanamke kitendo cha uovu?

    Huu ujumbe wako nimeuelewa sana. Wanawake wengi wameingia kwenye huu mtego na maisha yao yamevurugika beyond repair.
  4. Daata

    JamiiForums Tanzania Shetani kaweka makazi yake ya kudumu kwenye kubeti

    Acha kamari hutamlaumu Liverpool wala nani. You will be a normal person
  5. Daata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Huyo mwanzo tu ameshaonesha ishara mbaya kwa hiyo asitegemee kuna mabadiliko yatatokea.
  6. Daata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Utateseka vibaya mno na yeye hatajali hata kidogo
  7. Daata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mimi kumrudia Mwanamke huyu (EX) Kwa sasa?

    We bado sana wala hujui unataka nini
  8. Daata

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Sijaona hoja yako hata moja zaidi ya kushambulia mtu. You know nothing.
  9. Daata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu hanitaki

    Tafuta kitu cha kufanya usihangaike kumrudisha. Mambo yako yalikaa sawa mwenyewe atarejea.
  10. Daata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z wa Arusha wanasuka mipango

    Nafuatilia
  11. Daata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Special Thread: Kauli Tata za Rais Samia katika hotuba zake

    Anachochea moto tu
  12. Daata

    JamiiForums Tanzania Amenichamba kimatumbi! Who are me?

    Sure, you were younger some years and certainly you will get older
Back
Top Bottom