Ukiacha utajiri wa kanisa Katoliki, pia ni kanisa lenye mifumo dhabiti ya kiuongozi, kutoka ngazi ya jumuia hadi jimbo, na hutasikia migogoro yoyote ya kimasilahi.
Mi nina imani kuwa pamoja na waandishi wanaoitetea serikali moja kwa moja, bado tuna hazina ya waandishi wenye uzalendo wa kutoa taarifa za kiuchambuzi lakini mazingira yamewalazimu kuwa wa upande moja.
Nchi hii ukisubiri taarifa upewe na serikali utapata iliyochujwa, lakini waandishi wetu...
Wakuu haki na amani iwe kwenu.
Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na lawama kwa waandishi wa habari wa Tanzania baada watu kuona kuwa wanaripoti habari zenye mwelekeo moja wa kuitetea serikali na kunyamazia habari zote zinazokosoa au zenye tafsiri hasi kwa serikali.
Habari za kiuchunguzi dhidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.