Recent content by Da_Hustler

  1. D

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Wengi sana tu jamani tucheki ukiwa unahitaji Internet ya Uhakika tutayamaliza kwa bei ya kitanzania sana +255 741 801 801 One_TechTz
  2. D

    Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Soma kuelewa sio kujibu statements zote zina Biblical quotes embu soma huo waraka tena!! Alieleta hii ni Mwarabu Muislam swala 5!! Soma Kuelewa sio kujibu tu!! Hakuna aliebishia sabato ndio maana the guy alitaka kubatizwa, na Alieleta hii ni Muslim Alhaj swala 5, Hajui sebene wala Singeli na...
  3. D

    Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Binafsi nlileta hii kwangu ilinishinda na nnavyohitaji hela a 70+ Biln(Dinar 10M) sio makalio na mpaka naileta nimefanya due deligenge yangu to kufikia Kusurender mzee una Biblical proof ya huyu mtu ni nabii wa kweli lete tukapate hela!! Logical ground moja ya Mwarabu na mm mwenyewe kuwa na...
  4. D

    Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Kama wanafikra huru wakaribie maana binagsi kuna maana kufikiri nako ni kazi unajua!!
  5. D

    Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Soma kaka ili unielewe
  6. D

    Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!! Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!! Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au...
Back
Top Bottom