Soma kuelewa sio kujibu statements zote zina Biblical quotes embu soma huo waraka tena!! Alieleta hii ni Mwarabu Muislam swala 5!!
Soma Kuelewa sio kujibu tu!! Hakuna aliebishia sabato ndio maana the guy alitaka kubatizwa, na Alieleta hii ni Muslim Alhaj swala 5, Hajui sebene wala Singeli na...
Binafsi nlileta hii kwangu ilinishinda na nnavyohitaji hela a 70+ Biln(Dinar 10M) sio makalio na mpaka naileta nimefanya due deligenge yangu to kufikia Kusurender mzee una Biblical proof ya huyu mtu ni nabii wa kweli lete tukapate hela!!
Logical ground moja ya Mwarabu na mm mwenyewe kuwa na...
Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!!
Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!!
Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.