Uko sahihi mm mwenyewe waliniziba matukio mara 2 cna ham nao, halafu mfano hai Air Tanzania wana route karibu 120 na wana ndege 16 tu zinafanyiwa service serious saa ngapi?
Nauina uvivu wa kufikiri na matumizi nguvu bila akili video inaonyesha mtu akisukuma gunia mtaroni, ni mm ndio sioni vizuri au halafu huo muda wa kuhangaishana nae mpaka mnapata na muda wa kubeba nakusogeza mtaroni huo mwenge kama wa kupita, uko wapi? Ushauri napendekeza hawa jamaa waanze...
Nilisema naomba nirudie! Iran unaoijua ww na unayohadithiwa ww na media za magharibi!! Na Iran halisi ni nchi mbili tofauti sana!!
Speaking from Experience tu, ya wahusika na back up ya washkaji zao! North Korea, Russia, n China na wanapeana kila kitu mpaka Technology, Achana na hao maarufu...
Kuna kitu nahisi marekani na mashabiki wake hawajui au wanajisahaulisha, Wale waarabu wa ukanda ule wale ndugu wanaongea kikwao, ukitaka kuamini jiulize 47 yrs wana survive daily how? Nimechimba mwenyewe South Pars Gas Field (Pars-e Jonubi) rig zile north ni mali ya Qatar kuna tofauti kubwa sana...
Soma kuelewa sio kujibu statements zote zina Biblical quotes embu soma huo waraka tena!! Alieleta hii ni Mwarabu Muislam swala 5!!
Soma Kuelewa sio kujibu tu!! Hakuna aliebishia sabato ndio maana the guy alitaka kubatizwa, na Alieleta hii ni Muslim Alhaj swala 5, Hajui sebene wala Singeli na...
Binafsi nlileta hii kwangu ilinishinda na nnavyohitaji hela a 70+ Biln(Dinar 10M) sio makalio na mpaka naileta nimefanya due deligenge yangu to kufikia Kusurender mzee una Biblical proof ya huyu mtu ni nabii wa kweli lete tukapate hela!!
Logical ground moja ya Mwarabu na mm mwenyewe kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.