Maishani mwangu sijawahi jivunia upuuzi!!
Some says a star sign ndio sababu, ila sijawahi kuwa hard to love nadhani I'm always all in na najikuta nakuwa a standard na bahati mbaya nusu ya watu wangu tuliowahi date were broken to begin with, wengi huwa hawaamini upendo I offered till I'm gone...
Uko sahihi mm mwenyewe waliniziba matukio mara 2 cna ham nao, halafu mfano hai Air Tanzania wana route karibu 120 na wana ndege 16 tu zinafanyiwa service serious saa ngapi?
Nauina uvivu wa kufikiri na matumizi nguvu bila akili video inaonyesha mtu akisukuma gunia mtaroni, ni mm ndio sioni vizuri au halafu huo muda wa kuhangaishana nae mpaka mnapata na muda wa kubeba nakusogeza mtaroni huo mwenge kama wa kupita, uko wapi? Ushauri napendekeza hawa jamaa waanze...
Nilisema naomba nirudie! Iran unaoijua ww na unayohadithiwa ww na media za magharibi!! Na Iran halisi ni nchi mbili tofauti sana!!
Speaking from Experience tu, ya wahusika na back up ya washkaji zao! North Korea, Russia, n China na wanapeana kila kitu mpaka Technology, Achana na hao maarufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.