Recent content by Da_Hustler

  1. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni kwamba sijisikii comfortable pindi nikipanda ndege za Tanzania, najisika amani ninapopanda ndege za Kimataifa

    Uko sahihi mm mwenyewe waliniziba matukio mara 2 cna ham nao, halafu mfano hai Air Tanzania wana route karibu 120 na wana ndege 16 tu zinafanyiwa service serious saa ngapi?
  2. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Niwaambie ukweli mchungu au mapambio kuwafurahisha maana hamkawii kudai mnatukanwa!!
  3. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Nauina uvivu wa kufikiri na matumizi nguvu bila akili video inaonyesha mtu akisukuma gunia mtaroni, ni mm ndio sioni vizuri au halafu huo muda wa kuhangaishana nae mpaka mnapata na muda wa kubeba nakusogeza mtaroni huo mwenge kama wa kupita, uko wapi? Ushauri napendekeza hawa jamaa waanze...
  4. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Vikwazo ni hatari sana, ni Janga kubwa, naomba tufahamishane

  5. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Bro uliza wenyeji!!!
  6. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Sio kweli!! : Halafu jamani Dini ni kama Bangi kila mtu ana stim zake!!
  7. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Nilisema naomba nirudie! Iran unaoijua ww na unayohadithiwa ww na media za magharibi!! Na Iran halisi ni nchi mbili tofauti sana!! Speaking from Experience tu, ya wahusika na back up ya washkaji zao! North Korea, Russia, n China na wanapeana kila kitu mpaka Technology, Achana na hao maarufu...
  8. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Meli ya kubeba mafuta yenye bendera ya Tanzania, MT ASANA, imetekwa nyara

    Guys kuna any Update imeachiwa, wamelipwa au wameenda ikomboa?
  9. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Blockade ya Marekani huko Hormuz yaanza rasmi Iran lazima atoe milio tu

    Kuna kitu nahisi marekani na mashabiki wake hawajui au wanajisahaulisha, Wale waarabu wa ukanda ule wale ndugu wanaongea kikwao, ukitaka kuamini jiulize 47 yrs wana survive daily how? Nimechimba mwenyewe South Pars Gas Field (Pars-e Jonubi) rig zile north ni mali ya Qatar kuna tofauti kubwa sana...
  10. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Wengi sana tu jamani tucheki ukiwa unahitaji Internet ya Uhakika tutayamaliza kwa bei ya kitanzania sana +255 741 801 801 One_TechTz
  11. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Soma kuelewa sio kujibu statements zote zina Biblical quotes embu soma huo waraka tena!! Alieleta hii ni Mwarabu Muislam swala 5!! Soma Kuelewa sio kujibu tu!! Hakuna aliebishia sabato ndio maana the guy alitaka kubatizwa, na Alieleta hii ni Muslim Alhaj swala 5, Hajui sebene wala Singeli na...
  12. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Binafsi nlileta hii kwangu ilinishinda na nnavyohitaji hela a 70+ Biln(Dinar 10M) sio makalio na mpaka naileta nimefanya due deligenge yangu to kufikia Kusurender mzee una Biblical proof ya huyu mtu ni nabii wa kweli lete tukapate hela!! Logical ground moja ya Mwarabu na mm mwenyewe kuwa na...
  13. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Kama wanafikra huru wakaribie maana binagsi kuna maana kufikiri nako ni kazi unajua!!
  14. Da_Hustler

    JamiiForums Tanzania Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Soma kaka ili unielewe
Back
Top Bottom