Kuna wimbo nimekua nikiutafuta kwa miaka na mikaka. Ulikua na maadhi ya kizanzibar jina “Mpende wote” mwenye kuufahamu au mwenye nao ulitoka around 2000s
Kataa hilo pepo ndugu, ukiliendekeza utajitoa kweli uhai wako.
Jichanganye na watu, tafuta sehem zilizo changamka kwa muda wako wa mapumziko
Epuka sana kukaa pekeako, Ongea na mtu wako wakaribu kuhusu yanayo kusibu, kataa hilo pepo.
Kusoma Ilipoanzia
Sehemu ya Pili
-----
"NITAFUPISHA HAPA, IKUMBUKWE HII NI STORI YA MAISHA YANGU KABISA KWA MUDA WA MIAKA 7, NIMEKUA NIKUZUNGUKA HUKU NA KULE KUTAFUTA MSAADA KWA KIPINDI HIKO CHOTE. NILITAMANI KUELEZEA KILA STAGE NILIYOPITIA ILI MWENYE UWEZO WAKUSAIDIA MAWAZO AJUE NIWAPI...
Ilipoanzia fungua kiungo
Sehemu ya kwanza
---------
Baada ya kutoka hospital tulirejea nyumbani, na maisha yetu yakaendelea kama kawaida, nikaendelea kupigwa matukio kila siku, nikayumba sana kiuchumi. Alikuja mzee mmoja wa kisukuma huwa na fahamiana nae kwa muda akaniambia niende nyumbani...
Naitwa Ododi 35yrs Mkazi wa Kimara Korogwe. Nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 6 nimebahatika kupata mtoto 1 ambae anafikisha mwaka mmoja tangu kuzaliwa na kuja kwenye hii dunia yetu ukiachana na wengine 7 ambao wapo kwenye ulimwengu mwingine.
Najua unaweza usinielewe nikisema ulimwengu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.