Recent content by da viper

  1. da viper

    Dogo Edu wa Tamthilia ya Pazia ndiye muigizaji Bora kijana atakayekuja kushika Bongomovie

    We fuatilia mahojiano alivyofanya kwenye lavi davi ya diva tena kawekwa kwenye bango kabisa mtoto wa kiume anatamba kabisa eti nina lips nzuri maaamaaeeee kashaharibiwa na yule muuza sura mwenzake Hemed chande wanaleta uzuri wakati wenzao kina Othman na Isarito wanavuka boda kwenye tamthilia...
  2. da viper

    Dogo Edu wa Tamthilia ya Pazia ndiye muigizaji Bora kijana atakayekuja kushika Bongomovie

    Watunzi wa Huba ni wakenya ambao ni mwanahabari Rashid Abdallah, Zara Mwangi na kuna mwandishi mwingine alikuwaga anaitwa Ibrahim Chitayi wakishirikiana na waandishi wengine kutoka kenya na producer ni lulu hassan ambaye mmewe ni Rashid. Kiukweli Huba ndio baba wa tamthilia zote unazoziona...
  3. da viper

    Hela ya kujikimu kwa walimu wapya

    Habari wakuu, nauliza kiasi gani kinatolewa kwa ajili ya fedha ya kujikimu kwa walimu wapya mwaka 2023?
  4. da viper

    Kuondoa madoa meusi yatokanayo na tetekuwanga

    Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri nitauzingatia
  5. da viper

    Kuondoa madoa meusi yatokanayo na tetekuwanga

    Habari wadau,naomba msaada juu ya kuondoa black sports kwa mtoto ambaye alikumbwa na tetekuwanga na pia dawa ya majipu ambayo yanakuwa reddish in colour.
  6. da viper

    Maumivu baada ya placenta kujifungua

    Ok Sent using Jamii Forums mobile app
  7. da viper

    Maumivu baada ya placenta kujifungua

    Sawa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. da viper

    Maumivu baada ya placenta kujifungua

    Asante Kawaida Sent using Jamii Forums mobile app
  9. da viper

    Maumivu baada ya placenta kujifungua

    Habari wadau, Mwenza wangu analalamika maumivu ya tumbo baada ya kujifungua kwa muda mrefu sasa takribani miezi 8 sasa Anasema ni ule upande ambao mtoto alikuwa analalia akiwa tumboni kuna maumivu fulani hivi ambayo huja na kuondoka Sasa sijui tatizo ni nini? Naomba msaada Sent using Jamii...
  10. da viper

    Naomba msaada wa utatuzi wa tatizo la Maumivu kooni

    Hi, wadau Kuna bibi yangu anasema akimeza chakula kuna kitu kama kinamkwama kooni hiv, je ni tatzo gani hili au ni vidonda kooni? Tafadhali naomba msaada Sent using Jamii Forums mobile app
  11. da viper

    Media za Bongo na muendelezo wa Copy & Paste

    Mafanikio yapi unayoyazungumzia? Hata kama wamekopi lakini wameboresha na wana identity yao kuliko hao wasafi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. da viper

    Media za Bongo na muendelezo wa Copy & Paste

    Kama yapi labda? Kwenye weakness lazma tuseme Sent using Jamii Forums mobile app
  13. da viper

    Media za Bongo na muendelezo wa Copy & Paste

    Hivinajiuliza hawa wasafi wameshindwa kuwa creative? Mbna kila kipindi au mradi wanakopi? Kuanzia kivumbi cup-ndondo cup Block 89-fnl, Wasafi festival-fiesta, Superwoman-malkia wa nguvu, Sports arena-e sports Refresh-e news/clouds e Ifike pahala waache huu upuuzi, wanaboa kiukweli. Hata tv yao...
  14. da viper

    Kukopi na kupaste kwa Wasafi

    Hivinajiuliza hawa wasafi wameshindwa kuwa creative? Mbna kila kipindi au mradi wanakopi? Kuanzia kivumbi cup-ndondo cup Block 89-fnl Wasafi festival-fiesta Superwoman-malkia wa nguvu Sports arena-e sports Refresh-e news/clouds e Ifike pahala waache huu upuuzi, wanaboa kiukweli Hata tv yao...
Back
Top Bottom