Recent content by Da Vince Leofric

  1. Da Vince Leofric

    Mke wa mtu anataka nizae nae

    ... napenda kukuambia kwamba unafautiliwa sasahiv.....hahahahaaa.... we endelea tu kucheza bila kukunja goti
  2. Da Vince Leofric

    Barua kwa Mke Wangu...

    kaka we jembe sana, kama umeitunga mwenyewe!... ila kama umei copy na kupest hiv... Ila fresh ujumbe umefika
  3. Da Vince Leofric

    Kwa wanaume hivi vitatu ni unkwekabo!

    ..Weweeee, usiseme hakuna! we research yako umeifanyia wap mpaka unasema eti lazima mtu awe addicted kwenye hizo mambo tatu........ kwa taarifa yako mimi cjawa addicted kokote... RUDI UKAFANYE UTAFITI... mawazo tu lakini!!!
  4. Da Vince Leofric

    Ninampenda sana lakini najilazimisha kumsahau

    ... we ulikua unatafuta status ya kuoa mtu mwenye elimu na ukaacha penzi la kweli lipeperuke afu unasingizia mapepo. acha hizo wewe..... waweza fanya COST AND BENEFIT ANALYSIS ya mke wako huyu msomi....
  5. Da Vince Leofric

    Je Hii tabia nliyonayo ni mbaya???

    Ungesema kwanza we ni kabila gani... Kama we "muhaya" i hav no comment, maana nawaelewa sana wahaya kwa swagger zao za pesa hawajambo..... "watakwambia tu, mimi iko pesa wewe".......... Ila pia sio tabia nzuri kivile..
  6. Da Vince Leofric

    Watanzania kwa mapenzi tunatisha.

    kuwa mzalendo! kwanini unajenga 'inferiority complex'.. ingekuwa vizur kama ungesema kipi kifanyike badala la kuponda...
  7. Da Vince Leofric

    Vijana tusipande penzi pasipo mapenzi...!!

    Sista! ki ukweli waweza jua binadamu tunauwezo mkubwa sana wa kupambanua na hata kwa kiasi Fulani mambo ya baadaye, sema tatizo linatokana na tamaa na mihemko ya mda mfupi. But, for sure! tunaweza jua kabisa kama penzi hili ni la kweli au lah!.... mfano mdogo tu sista, ni mara ngapi umefanya...
  8. Da Vince Leofric

    Vijana tusipande penzi pasipo mapenzi...!!

    Nyerere inawezekana ukawa sahihi kwa upande mmoja... ila kumbuka nadharia mara nyingi ndio huwa haswaa inajenga umbo la nje...... hata gari lilianza kuundwa kutoka kwenye nadharia. Kuwa na nadharia ni mwanzo mzuri, vivyo hivo katika mapenzi. kuwa na nadharia nyingi kichwani kunaweza saidia kwa...
  9. Da Vince Leofric

    Vijana tusipande penzi pasipo mapenzi...!!

    Imekua ni kawaida sana katika jamii yetu kuskia vioja vitokanavyo na mapenzi: mara utaskia "anywa sumu, ajinyonga" na mengineyo yanayochukiza ambayo hayaleti haiba nzuri kwa jamii haswa kwa vijana ambao ndio hasa msingi wa Tanzania yetu ya kesho... Nikiingia kwenye mzizi wa mada yangu hii, moja...
Back
Top Bottom