[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] mwanaume jiamin bhana umeongea point aisee na ukiona mwanamke anakujibu shit Kuna kitu amenote kwako
Kwanza inabd mwanaume ht kama huna pesa jisimamie kwenye uanaume wako kikubwa n kujiamin ila mwanamke akishajua hujiamin huwez kujisimamia as a man ndo hp anapokupanda kichwan na haijalishi awe msom au si msom
Ht kama amelalamika ila hamisa hashindwi kumlea yule mtt mwenyewe Lin atamleaje mwenyewe wkt babake yupo na anauwezo kaz kulea wtt wasomuhusu
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Hkn anaemchukia na utamchukiaje mtu bila sababu inamaana kutaka kuambiwa busara zake ndo kumchukia wengine hatuzijui hz busara zake
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Hao walosema zari ana busara waje watujuze ambao hatuzijui [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Mwanamke amekuzid miaka saba huko kama sio nane kwanza unakuwa huwez hata kuuonesha uanaume wako hata kujiamin hutokuwa nao
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Fact kwa kweli na sex tape juu kwahili mond hawez laumiwa jmn sema tukinao ndo anamganda na ile timu yake mwanaume gan ataemkubali
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Halafu mtu akitoka hapo aseme zari eti ana busara na akili hata wanaume wa humu mngeweza kuishi na mwanamke kama huyo tukinao
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.