Broo acha usiseme hvoo mwanamke ni kiumbe hatari akibadilika kweli anamaanisha na huez Amin maamuz yake Hawa wanajua kupretend na wanatujua Sana ukute alikubali kuingia kwenye ndoa akiamn we ni boy* hta akifanya mambo yake hutaeza mfanya lolote mkishaingia tu kwenye ndoa anaanza sasa kufanya...
Waachen na ela zao Kwan ulilazimishwa kuoa mwanamke mwenyew pesa !!?? Inamaana ultafta mwanamke mwenyew pesa ili ukwepe majukumu yako katka familia??? Toa ela broo tmiza majkm yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.