Uhakika: Jinsi Vita ya Urusi na Ukraine Itakavyokwamisha Upandishaji wa Mishahara ya Wafanyakazi

Dodoma, Jumapili 17/4/2022
Vita ni shida. Vita ni taabu. Vita ni balaa. Nani angeweza kutabiri kwamba vita kati ya Urusi na Ukraine ingeathiri uchumi na kuvuruga mipango ya maendeleo ya serikali kiasi hiki? Sasa ni dhahiri kuwa vita hii imepelekea mdororo wa uchumi wa taifa.

Uchumi wa taifa unapovurugika, mambo mengi sana huenda kombo. Kati ya mipango mingi itakayovurugika ni uwezo wa serikali kuwaongeza mishahra wafanyakazi. Tukumbuke ahadi ya kuwaongezea mishahara wafanyakazi ilitolewa na Mh Rais Samia Suhulu mnamo tarehe 1/5/2021 wakati akihutubia halaiki ya wafanyakazi. Alisema kuwa atawaongezea pekeji (mishahara) wafanyakazi ifikapo tarehe 1/5/2022. Lakini kwa sababu ya Urusi kuivamia Ukraine na kusababisha vita, ahadi hii haitaweza kutekelezwa. Kiongozi mmoja kutoka serikalini alinukuliwa akisema kuwa serikali ilikuwa na nia thabiti kuwaongeza mishahara wafanyakazi lakini imeshindikana kwa sababu ya uwepo wa vita ya Urusi na Ukraine. “Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kila mfanyakazi anapata mshahara bora lakini mchakato wa kuangalia kama mshahara uongezeke au la utaanza mara baada ya vita ya Urusi na Ukraine kukoma kwa kuwa vita hii imeharibu sana uchumi wetu”. Alisema.

Wataalamu wa masuala ya uchumi wanasema kuwa vita ya Urusi na Ukraine imesababisha kupanda kwa bei ya mafuta na hivyo kusababisha bei ya kila kitu kupanda. Tukumbuke mishahara ya wafanyakazi inatokana na kodi wanazokamuliwa wananchi. Serikali haiwezi kuwaongezea kodi wapigakura kwa kuwa tayari wana hali ngumu ya maisha. Aidha, ikiwa serikali itapandisha mishahara ya wafanyakazi, hali hiii itasababisha mfumuko wa bei na watakaoumia zaidi sio wafanyakazi (kwa kuwa tayari watakuwa na mishahara mikubwa) bali ni wananchi wa kawaida. Vilevile, uchumi wa taifa utadorora zaidi.

“Kwa hiyo, unaweza kuona kwamba kuongeza mishahara sio neema kwa watumishi bali ni balaa kwao na kwa nchi nzima. Serikali haiwezi kukubali kufanya jambo lenye athari kubwa kiasi hiki pasipo kuzingatia madhara yake kwa uchumi wa taifa na uchumi wa mwananchi mmmoja mmoja”. Alisema.

MAONI YANGU
Mimi naona uamuzi wa serikali ni sahihi kwa kuwa nyongeza ya mishahara itawaathiri wapigakura wasiokuwa na hatia kwa maslahi ya kikundi kidogo cha watu wanaojiita wafanyakazi. Hili jambo sio la kukurupuka kama vile panya anavyokurupuka kutoka kwenye kibuyu. Kuna mambo kama matatu hivi yanayopaswa kuangaliwa kwa kina kabla ya kufikiria kuongeza mishahara ya wafanyakazi.

Mosi, tukumbuke CCM inafanya uchaguzi wa ndani mwaka huu na wajumbe watakaoshiriki kupiga kura nao wana hali ngumu za kiuchumi. Endapo serikali itawakakua zaidi watu hawa wanaweza kupata hasira na kuwachagua wafuasi wa sukuma gang, hivyo kumkwamisha Rais wetu katika mipango yake ya maendeleo.

Pili, nyongeza ya mishahara ikichochea mfumuko wa bei na kupelekea wapigakura kuichukia serikali kuna hatari ya wapigarakura kuwapigia kura sukuma gang mwaka 2025 na kumtupa nje Rais wa watu aliyepo madarakani sasa. Fikiria kikundi kidogo cha sukuma gang kilivyoitafuna nchi kwa kipindi kifupi tu cha miaka 6 halafu warejee tena madarakani? Haiwezekani.

Tatu, mdororo wa uchumi utakaosababishwa na kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi ni zaidi ya uhujumu uchumi. Kwanini serikali ikubali kikundi kidogo cha watu, tena wasiokuwa na madhara kwenye sanduku la kura, wahuhujumu uchumi wa nchi nzima? Ni mwendawazimu pekee anayeweza kuruhusu hili kutokea.

Nawasilisha.​
wewe umetumwa hii vita itaisha lini na kama bei ya vitu au ghararama ya maisha imepanda na kipato ni kile kile huyu mtumishi atawezaje kumudu hali hiyo?je atawalipiaje watoto wake ada za shule,maji,umeme nk wakati kipato chake bado ni kile kile?kwani mfanyakazi si mpiga kura?unamainisha nn unaposema wapiga kura watajiunga na sukuma gang na kumtupa mama nje.nani hao wapiga kura na sukuma gang.bila nyongeza wafanyakazi watapungua morali pia tija itapungua kwa kiasi kikubwa.delay yenu ya kutopandisha mishara gharama yake ndo hiyo.kama hamkuforecast ya mbele sasa kazi kwenu na msilete hivyo visababu vya kipuuzi humu ndani.mbona mabilioni ya pesa yanaibiwa kila siku na mmeshindwa kuthibiti sasa mnaleta ngonjera humu ndani.hakuna mbadala wafanyakazi lazima waongezwe mishahara kwa gharama ya maisha iko juu sana.
 
wewe umetumwa hii vita itaisha lini na kama bei ya vitu au ghararama ya maisha imepanda na kipato ni kile kile huyu mtumishi atawezaje kumudu hali hiyo?je atawalipiaje watoto wake ada za shule,maji,umeme nk wakati kipato chake bado ni kile kile?kwani mfanyakazi si mpiga kura?unamainisha nn unaposema wapiga kura watajiunga na sukuma gang na kumtupa mama nje.nani hao wapiga kura na sukuma gang.bila nyongeza wafanyakazi watapungua morali pia tija itapungua kwa kiasi kikubwa.delay yenu ya kutopandisha mishara gharama yake ndo hiyo.kama hamkuforecast ya mbele sasa kazi kwenu na msilete hivyo visababu vya kipuuzi humu ndani.mbona mabilioni ya pesa yanaibiwa kila siku na mmeshindwa kuthibiti sasa mnaleta ngonjera humu ndani.hakuna mbadala wafanyakazi lazima waongezwe mishahara kwa gharama ya maisha iko juu sana.
Mkuu wewe unataka mfumuko wa bei upande? Hujui kuwa wafanyakazi wakiongezewa mishahara wafanyabiashara watapandisha bei za bidhaa na huduma hivyo kuwaumiza wapigakura?
 
Hapa Rais Nyerere aliongea ukweli tupu bila chenga wala kutia chumvi. Wafanyakazi wake zao wamejaza miguo kwenye mikabati halafu wanataka wongezewe mshahara? Huo ni ubinafsi mkubwa sana.
Kaka mbona Una hasira sana? unaandika mwenyewe ,unajireply tena... punguza makasiriko.

Naunga mkono hoja yako ,wasiongezewe hata 10.
 
Kaka mbona Una hasira sana? unaandika mwenyewe ,unajireply tena... punguza makasiriko.

Naunga mkono hoja yako ,wasiongezewe hata 10.
Mkuu tulia sindano ziingie; bado masaa machache tu mama awapige wafanyakazi na kitu kizito kichwani.
 
Dodoma, Jumapili 17/4/2022
Vita ni shida. Vita ni taabu. Vita ni balaa. Nani angeweza kutabiri kwamba vita kati ya Urusi na Ukraine ingeathiri uchumi na kuvuruga mipango ya maendeleo ya serikali kiasi hiki? Sasa ni dhahiri kuwa vita hii imepelekea mdororo wa uchumi wa taifa.

Uchumi wa taifa unapovurugika, mambo mengi sana huenda kombo. Kati ya mipango mingi itakayovurugika ni uwezo wa serikali kuwaongeza mishahra wafanyakazi. Tukumbuke ahadi ya kuwaongezea mishahara wafanyakazi ilitolewa na Mh Rais Samia Suhulu mnamo tarehe 1/5/2021 wakati akihutubia halaiki ya wafanyakazi. Alisema kuwa atawaongezea pekeji (mishahara) wafanyakazi ifikapo tarehe 1/5/2022. Lakini kwa sababu ya Urusi kuivamia Ukraine na kusababisha vita, ahadi hii haitaweza kutekelezwa. Kiongozi mmoja kutoka serikalini alinukuliwa akisema kuwa serikali ilikuwa na nia thabiti kuwaongeza mishahara wafanyakazi lakini imeshindikana kwa sababu ya uwepo wa vita ya Urusi na Ukraine. “Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kila mfanyakazi anapata mshahara bora lakini mchakato wa kuangalia kama mshahara uongezeke au la utaanza mara baada ya vita ya Urusi na Ukraine kukoma kwa kuwa vita hii imeharibu sana uchumi wetu”. Alisema.

Wataalamu wa masuala ya uchumi wanasema kuwa vita ya Urusi na Ukraine imesababisha kupanda kwa bei ya mafuta na hivyo kusababisha bei ya kila kitu kupanda. Tukumbuke mishahara ya wafanyakazi inatokana na kodi wanazokamuliwa wananchi. Serikali haiwezi kuwaongezea kodi wapigakura kwa kuwa tayari wana hali ngumu ya maisha. Aidha, ikiwa serikali itapandisha mishahara ya wafanyakazi, hali hiii itasababisha mfumuko wa bei na watakaoumia zaidi sio wafanyakazi (kwa kuwa tayari watakuwa na mishahara mikubwa) bali ni wananchi wa kawaida. Vilevile, uchumi wa taifa utadorora zaidi.

“Kwa hiyo, unaweza kuona kwamba kuongeza mishahara sio neema kwa watumishi bali ni balaa kwao na kwa nchi nzima. Serikali haiwezi kukubali kufanya jambo lenye athari kubwa kiasi hiki pasipo kuzingatia madhara yake kwa uchumi wa taifa na uchumi wa mwananchi mmmoja mmoja”. Alisema.

MAONI YANGU
Mimi naona uamuzi wa serikali ni sahihi kwa kuwa nyongeza ya mishahara itawaathiri wapigakura wasiokuwa na hatia kwa maslahi ya kikundi kidogo cha watu wanaojiita wafanyakazi. Hili jambo sio la kukurupuka kama vile panya anavyokurupuka kutoka kwenye kibuyu. Kuna mambo kama matatu hivi yanayopaswa kuangaliwa kwa kina kabla ya kufikiria kuongeza mishahara ya wafanyakazi.

Mosi, tukumbuke CCM inafanya uchaguzi wa ndani mwaka huu na wajumbe watakaoshiriki kupiga kura nao wana hali ngumu za kiuchumi. Endapo serikali itawakakua zaidi watu hawa wanaweza kupata hasira na kuwachagua wafuasi wa sukuma gang, hivyo kumkwamisha Rais wetu katika mipango yake ya maendeleo.

Pili, nyongeza ya mishahara ikichochea mfumuko wa bei na kupelekea wapigakura kuichukia serikali kuna hatari ya wapigarakura kuwapigia kura sukuma gang mwaka 2025 na kumtupa nje Rais wa watu aliyepo madarakani sasa. Fikiria kikundi kidogo cha sukuma gang kilivyoitafuna nchi kwa kipindi kifupi tu cha miaka 6 halafu warejee tena madarakani? Haiwezekani.

Tatu, mdororo wa uchumi utakaosababishwa na kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi ni zaidi ya uhujumu uchumi. Kwanini serikali ikubali kikundi kidogo cha watu, tena wasiokuwa na madhara kwenye sanduku la kura, wahuhujumu uchumi wa nchi nzima? Ni mwendawazimu pekee anayeweza kuruhusu hili kutokea.

Nawasilisha.​
Kwa hiyo watumish wao waendesheje maisha yao????
 
Back
Top Bottom