Recent content by D32

  1. D

    Dereva anatafuta kazi

    Nitafute DM
  2. D

    TRA kuanza kuwatozo kodi watu binafsi,makampuni na taasisi zinazofanya biashara au shughuli za uwekezaji kwenye majengo

    Tunapoelekea kumiliki gari Tanzania ni rahisi kuliko kumiliki nyumba, nyumba unakodi ya ardhi, kodi ya jengo na kodi ya kupangisha,mbaya zaidi watakuja na rate za juu kila mtu akimbie,angalizo kodi siku zote huwa analipa mlaji wa mwisho, so ile kauli ya raisi wa wanyonge inawezekana isitimie...
  3. D

    Sakata la Makontena ya Makonda: Rais Magufuli amshukia kama Mwewe, amtaka alipe kodi

    Ngoja nkanywe bia kwanza kauli ya jpm inaleta matumaini Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Makontena ya Makonda yapigwa Mnada. Yashindwa kupata mnunuzi, ni yale aliyoyakana kuwa hayajui

    Alipe kodi tu na yeye asikie uchungu wa maisha Sent using Jamii Forums mobile app
  5. D

    Zitto ahoji hali ya uchumi kwa kurejea figure za BOT

    Madai ya zitto kambwe ni nyepesi sana Angetoa sababu za kiuchumi za kushuka kwa import,na inamadhara gani kwa taifa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    Madhara ya kutokujua hesabu yaanza kujianika

    maana yake ni selling rate ni 22.49 and buying rate ni 22.67 , sasa chukua 170x22.67=3854 kwahyo 3,854>2,000 kaka ulikimbia umande mapema sana hizi hesabu za std 4, then unatumia simu janja hata kuggogle hauwezi? kweli hiki kizazi cha instagram na facebook tabu sana,mchana mwema
  7. D

    Madhara ya kutokujua hesabu yaanza kujianika

    ww ndo haujui hesabu mkuu exchange rate ya TZS VS KES LEO , BUYING RATE 2,249.43 SELLING RATE 2,267.42
  8. D

    FAO LA KUJITOA

    Jamani wadau mwenye kujua kuhusu hatima ya fao la kujitoa kwenye mifuko ya jamii anijuze!natanguliza shukrani.. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. D

    Multichoice (Dstv) na Zuku hatarini kunyang'anywa leseni za kurusha matangazo Tanzania kwa kukaidi Agizo la TCRA la kutoonyesha televisheni za ndani

    safi this should not be double standard kama anafanya hvi awaadhibu na Azam,Dstv & Zuku, tumechoka kulipia local channel while is free of charge
Back
Top Bottom