Wadau eeh! wajameni mm kuna vitu zinanichanganya kidogo naombeni maelekezo.
Kwani nini tofauti ya pass ya kusafiria na visa? utofauti wa matumizi kama upo? valid durations and kwa ajili ya safari za nje ya nchi ninahitajika kuwa na docs. zipi? Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.