Recent content by D.I.T

  1. D

    Regia Mtema is No More!

    Hili ni pigo kwetu walemavu,katutoka ktk kipindi ambacho jamii ili anza kuelewe kuwa walemavu wanamchango mkubwa sana katika ili taifa ilimradi tu,wakipewa nafasi na kuaminiwa.Poleni sana wanafamilia wa da Regia,daima muwe mfano wa kuigwa kwenye jamii hii ambayo bado inajua ulemavu ndo mwisho...
  2. D

    Wanasiasa vijana kuweni chachu ya mabadiliko!

    Vijana ni tumaini pekee na asset kubwa kwa taifa hili linalo ota siku moja litakuwa na wa2 wenye maisha bora na kuwa taifa la kuigwa ulimwenguni. Vjana wanasiasa lazima wajihoji kwann wapo kwenye jukwaa la wa2 wanao waujumu wa2 wao ili kulinda maslah yao! Tusiingie tu kisa baba kaacha nafasi...
Back
Top Bottom