Recent content by Cysthe

  1. Cysthe

    Nick Mbishi & One 'The incredible' mpaka wafe?

    "Usiwachukie waliokukacha, ni ulimbukeni na ndoto zao za alinacha" - Roho 7 "Hata niwe kipofu ntaandika kila kitu, MaRapper wabovu ndo huwa wanasifika kila siku" - Songa "Wanataka niache ngumu nibane pua, ninyoe kiduku ndo niwe msanii wanaemtambua" - One "Na speak truth, kwamba mwamba...
  2. Cysthe

    Msaada: Data recovery software

    Mkuu data we hata ukifuta kwenye recycle bin, huwa kuna uwezekano wakuzirudisha, tena mkubwa tu unless umepata watu wenye uwezo huo with good forensic tools. FBI jiulize huwa wanafanyaje kurecover data zako zakwenye hdd kama ulizifuta within a month or year tena wataweza kujua ulichomeka...
  3. Cysthe

    Naitaji box ya kuflash simu

    Kama una uwezo, eBay ni the place to go.
  4. Cysthe

    Msaada: Account yangu ya Facebook imechezewa

    Mkuu ni kosa lako mwenyewe kuwa na facebook account. btw hilo tatizo linatokana application inayojiauthorize kupost videos au picha kila baada ya dk flani. Wengi ambao hukumbana na tatizo hili ni wale wanaotafuta ku increase number of likers ktk website ambazo baadae zinaweka apps kwenye...
  5. Cysthe

    Blogs and Web: Jinsi ya kuzuia contents za blog yako au website kukopiwa na mtu mwengine

    Unapofanya hivyo ukiwa unajua kwamba mtu anaweza Copy tena kiurahisi ujue unapoteza tu muda. Mfano sites wanazozuia access ya source code, mtu anapotafuta njia yakuweza copy content za site, ataona na njia nyingine za kulaunch Dos or etc nakushawishika. Site kubwa kama facebook wanaacha tu...
  6. Cysthe

    Naomba msaada app nzuri ya kudowload nyimbo with samsung s5

    Ingia playstore kama umeiacha kwenye simu yako, then download application inaitwa Copyleft music MP3 au download HAPA kama ume allow installation ya third party apps utaeza download nyimbo za aina zote hata za hawa wabongo. Regard Cysthe
Back
Top Bottom