Recent content by cyber calliber

  1. C

    JamiiForums Tanzania Graduate anatafuta kazi yoyote Morogoro

    Nina ndugu yangu kamaliza chuo sasa ndo anakaa kwa ndugu yake Morogoro, kwa wanaojua sehemu mtu anaweza jishika akapata kitu chochote. Kuuza duka, viwandani, wapi kwingine kwa Morogoro. Share maelekezo tusaidiane.
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume naombeni mnijibu hili swali kwa mitazamo yenu

    Kupiga ata piga tu, ata akiapa, iko siku itatokea na haitaacha Vye achague kimoja kati ya kukubal hvo au kuenda kwa mwngne. Kubadilika au kutokufanya hvo n choice ya mwanaume 100%
  3. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kumuacha japo ninampenda sana

    ndio utammiss na nn, hamna dawa kubwa ya vitu kama mda. jipe mda fata mambo yako mengine ulionayo, kma n biashara endelea kuishi. MUDA utakufanya usahau pole pole, iko siku unaeza kumbuka ktu ambacho ulzan sjui kitakutesa lkn hautajiskia vbaya. amna mbinu ata, fanya kama umekula embe ndio ni...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Nitapataje kazi za viwandani Morogoro?

    anaefahamu kwa ssa? anyone?
Back
Top Bottom