Nyongo kitaalamu ni digestive fluid inayozalishwa na ini na kazi kubwa ya nyongo ni kuyeyusha chakula na kusaidia mwili kufyonza mafuta yaliyoyeyushwa mwilimi yaani rat absorption, Vilevile kazi nyingine ya nyongo ni kutoa uchafu mwilini
Let me clarify the difference btw an alligator and a crocodile as a very, Crocodile and alligators are both large carnivorous reptiles from the order CROCODYLIE but they differ iin several key ways
1 snout Crocodile have v shaped while alligator have u shaped, 2 Habitat crocodile live in salt...
Kuna mamba aina mbili, Kuna alligator. hawa ni wadogo na wanakaa kwenye maji baridi kama vile mitoni au mabwawani, Kuna crocodiles hawa ni wakubwa sana na Wana uwezo wa kuuwa wanyama wakubwa hata wa kilo 500, Hawa wanaishi kwenye maji baridi na maji chumvi
Miaka ya 90 nilifanikiwa kwenda Zimbabwe kwenye course fupi ya veterinary postmorterm, tulitembelea shamba la kufugia mamba ni kweli Kuna mamba wakubwa na wanawezq kula mawindo ya mnyama mwenye kilo 500 sababu anachofanya yeye ni kumzamisha kwenye maji kwa muda mrefu hivyo anakufa kwa kukosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.