Hard copy hatupokei kwani ni rahisi kupokea. Tafadhali fika katika internet cafe na ujisajili. Kwa kujisajili CV yako itakuwa salama na system itakutambua hivyo ni rahisi kukutrack
Utaitwa interview iwapo imetokea position ambayo inakufaa na wewe utafit in. Au iwapo ume apply position and you have the qualifications. Haitakuwa vizuri kama tutakuita na kuutumia muda wako kwa interview na position inayokufaa hatunayo. Iwapo itatokea position inayokufaa na uta fit in hakika...
Habari,
Utaitwa interview iwapo imetokea position ambayo inakufaa na wewe utafit in. Au iwapo ume apply position and you have the qualifications. Haitakuwa vizuri kama tutakuita na kuutumia muda wako kwa interview na position inayokufaa hatunayo. Iwapo itatokea position inayokufaa na uta fit in...
Cvpeople africa tanzania ni wakala na mbali moja wa ajira africa nzima. Ikiwa na umri zaidi ya miaka ishirini.
Ni wakati wako sasa kujisajili nasi bure kupitia tovuti yetu .na kuweza kuchagua ajira uipendayo.
Cvpeople africa haitozi jobseeker gharama yoyote. Iwapo utapewa taarifa na mtu...
Je leo utafanya nini kuhusiana na mchakato wako wa kutafuta ajira.? -Je utakutana na watu wangapi siku ya Leo ambao wanafanya kazi unayotamani kuifanya? -Je unatumia mtandao vipi kwa ajili ya kutafuta ajira kwa siku ya Leo?. KUMBUKA; kwa kila jambo unalolitamani kulifanya,ama aina ya mtu...
Si kujiunga ni kujisajili tuu ili tupate CV yako. Huko kujisajili ni kuandika taarifa zako, jina kamili, elimu, experience yoyote uliyonayo, mshahara unaoutarajia pamoja na kuambatanisha CV yako. Ni rahisi sana unaingia tu kwenye website ya CVPeople Africa, bonyeza TZ flag kisha bofya register...
Kuna nafasi ya kazi. Anatafutwa mkunga. Tafadhali tembelea tovuti yetu kwa maelezo zaidi.
MIDWIFE NURSE
Dispensary, Iringa, Tanzania
An opening for a Midwife Nurse specialize in childbirth, postpartum, and well-woman health care of all kinds. He / she must be highly trained professionally...
KWA WANAOTAFUTA AJIRA...
Acha kuweka comments hii chini ya tangazo "Tafadhali pitia profile yangu" hakuna mwajiri mwenye muda wa kuangalia profile ya kila MTU (mfano linkedIn) kama kweli unauhitaji na kazi watafute waajiri wapigie simu, watumie barua pepe..
HAYA NDIYO UNAYOPASWA KUFANYA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.