Recent content by Cvez

  1. Cvez

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Kusaidia ndugu sio mbaya tatizo ni wao kuona ni haki yao kusaidiwa.
  2. Cvez

    Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

    Vyote kwa pamoja
  3. Cvez

    Mfumo wa elimu Tanzania

    Sasa historia ya Tanzania ulitaka wafundushe vitu gani?
  4. Cvez

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hakuna cha bure, usipolipia kwa pesa, utalipia kwa muda na hisia zako na Insider anahakikisha sote tunalipia.
  5. Cvez

    Nauza kiwanja king’azi Malamba

    Weka bei
  6. Cvez

    Mademu hawanikubali?

    Unaenda kwa kutia huruma
  7. Cvez

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Kwamba wewe ndio una akili sana kuliko hao Wairani umeweza kung'amua kabla yao
  8. Cvez

    Makanisa ya Kilokole yana shida kubwa sana

    Kanisani unakuta watu watano ila mziki sauti inasikika mtaa wa tano.
  9. Cvez

    KERO Tuliosoma Bachelor of Education in Psychology, hakuna ajira tangu 2015

    Kuna watatu ninaowafahamu binafsi wamemaliza hiyo course 2021 UDSM wameajiriwa serikalini.
  10. Cvez

    Tuache unafiki mtu usiku kucha umekesha unakula vyakula vya kutosha halafu next day unajifanya saumu imekaza😆

    Kwani kufunga si kila mtu anafunga kwa mafunzo yao. Hata sala zetu zipo tofauti
  11. Cvez

    Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Bei hazipo realistic na uchumi wa Watanzania kuna watu wachache wenye ukwasi na wengi ni makapuku. Na hao wenye ukwasi pia wana opt kujenga kuliko kununua apartments
  12. Cvez

    Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Millard Ayo mpaka leo hajajaza Palm Village
Back
Top Bottom