Recent content by Cvez

  1. Cvez

    Ripoti ya Jajiji Chande imewavua nguo na kuwaumbua Digital Sadism Content Creators wote

    Kula nyama nyamaza. Usitufanye sisi hatuna akili kama wewe.
  2. Cvez

    Kuna faida gani tena ya kumpeleka mtoto shule wakati fani/ujuzi pekee unatosha kumpatia mapato?

    Ujuzi uliokuwepo unaisha ndio maana kuna mafundi wa zamani na wa kisasa. Shule ni muhimu katika ku-update hizo skills
  3. Cvez

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Nilipoona uchawi wa radi huko nyanda za juu Kusini
  4. Cvez

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Kama unaamini Mungu na unasema hakuna uchawi una matatizo ya akili.
  5. Cvez

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Kusaidia ndugu sio mbaya tatizo ni wao kuona ni haki yao kusaidiwa.
  6. Cvez

    Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

    Vyote kwa pamoja
  7. Cvez

    Mfumo wa elimu Tanzania

    Sasa historia ya Tanzania ulitaka wafundushe vitu gani?
  8. Cvez

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hakuna cha bure, usipolipia kwa pesa, utalipia kwa muda na hisia zako na Insider anahakikisha sote tunalipia.
  9. Cvez

    Nauza kiwanja king’azi Malamba

    Weka bei
  10. Cvez

    Mademu hawanikubali?

    Unaenda kwa kutia huruma
  11. Cvez

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Kwamba wewe ndio una akili sana kuliko hao Wairani umeweza kung'amua kabla yao
  12. Cvez

    Makanisa ya Kilokole yana shida kubwa sana

    Kanisani unakuta watu watano ila mziki sauti inasikika mtaa wa tano.
Back
Top Bottom