Recent content by Cvez

  1. Cvez

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Dangote leo Mei 16, 2026

    Mpopo katika moja na mbili, sasa hivi sote tunapambana kumkunia nazi.
  2. Cvez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mli-deal vipi na hili, kwenye suala la utongozaji?

    Hakika ndugu
  3. Cvez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mli-deal vipi na hili, kwenye suala la utongozaji?

    Long story short ni kua hupendwi
  4. Cvez

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Jajiji Chande imewavua nguo na kuwaumbua Digital Sadism Content Creators wote

    Kula nyama nyamaza. Usitufanye sisi hatuna akili kama wewe.
  5. Cvez

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani tena ya kumpeleka mtoto shule wakati fani/ujuzi pekee unatosha kumpatia mapato?

    Ujuzi uliokuwepo unaisha ndio maana kuna mafundi wa zamani na wa kisasa. Shule ni muhimu katika ku-update hizo skills
  6. Cvez

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Nilipoona uchawi wa radi huko nyanda za juu Kusini
  7. Cvez

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Kama unaamini Mungu na unasema hakuna uchawi una matatizo ya akili.
  8. Cvez

    JamiiForums Tanzania 'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Kusaidia ndugu sio mbaya tatizo ni wao kuona ni haki yao kusaidiwa.
  9. Cvez

    JamiiForums Tanzania Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

    Vyote kwa pamoja
  10. Cvez

    JamiiForums Tanzania Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Sasa hivi ni gated community tu
  11. Cvez

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa elimu Tanzania

    Sasa historia ya Tanzania ulitaka wafundushe vitu gani?
  12. Cvez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hakuna cha bure, usipolipia kwa pesa, utalipia kwa muda na hisia zako na Insider anahakikisha sote tunalipia.
  13. Cvez

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja king’azi Malamba

    Weka bei
Back
Top Bottom