Ilikuwa ukutani Nina muda sikuwepo home Kuna mpangaji mwezangu nilimuachia ufunguo kwa ajili ya kuniangalizia usalama ndani kwangu narudi juzi usiku nawasha tv ili badae niangalie mechi ya Simba nakuta kioo kina kleki Kama zote kuwasha ni marangirangi tu uoni kitu
Habari zenu Wana JamiiForums,
TV yang brand hisence Ina miezi 3 tokea ninunue tatizo ni kioo chake kimevunjika iligongwa na kitu.
Nimefikiria gharama za kununua tv nyingine ni Bora nifanye repair hii tv kubadilisha kioo nahitaji msaada upatikanaji wa kioo kingine na gharama Niko nje ya dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.