Recent content by CUSO4

  1. C

    Bomoa bomoa ya Pombe Magufuli yaanza.....jengo la business park ( green acres ) labomolewa

    Kubomoa sawa wanabomoa lakn swal la kujiuliza ni kwamba waliojenga waljenga ucku? mbona hawakuwazuia? huu ni usumbufu mtupu
  2. C

    Lady Jaydee alivyofunika......

    Inapendeza kama jamii imetambua kwamba jide anaweza na kuamua kumpa shavu. kwel imekaa vzuri na nimtakie mafanikio zaid na zaid
  3. C

    PICHA: Kada wa CHADEMA, Amos ajeruhiwa vibaya kwa Shoka na GREENGUARD wa CCM Arusha

    Hii sasa inaumiza na kusikitisha na kama ndo siasa inavyoendeshwa hiv ni bora wahusika wakatafuta mbadala wa siasa kwan fani hii imewashnda. Na kwa hali hii ni dhahiri mabadiliko ya haraka yahitajika lasivyo hii nchi itakuwa kama Darfur.
Back
Top Bottom