Recent content by curiously

  1. C

    Bandari ya dar es salaam

    Mh. Mwakyembe bado kuna tatizo ktk katika bandari ya dar es salaam, unaagiza mzigo unalipia kila kitu unapotaka kuutoa unazungushwa zungushwa tuu mara utaskia eti wakaguzi hawapo eti uje j3 na hapo mtu umeshakaa karibu week nzima ukihangaikia kutoa mali yako!inaudhi sana kwakweli!
  2. C

    Hivi kuna simu inaizidi Sony Xperia Z kwa picha? Namaanisha kutoka kampuni nyingine

    Huku pia sawa kwani ni jukwaa la hoja mchanganyiko.
  3. C

    Hivi kuna simu inaizidi Sony Xperia Z kwa picha? Namaanisha kutoka kampuni nyingine

    Please naomba mnisaidie kwa wale waliokwisha tumia simu tofauti
  4. C

    Ubora na bei za tecno smartphones

    Kweli kabisa asee eti mtu anasema techno inaacha mbali simu zenye majina hahaaaaa! Techno unafananisha na SONY XPERIA Z unaakili kweli wewe!
  5. C

    Msaada: Kwenda kwa TB Joshua-Lagos Nigeria

    Familia ya NELSON MANDELA HAWAKUMJUA TB JOSHUA??? Au FAMILIA YA MGIMWA HAWAKUJUA KAMA KUNA MTU ANAITWA TB JOSHUA???? Tuondolee usenge wako humu umechelewa wewe, wajanja wanamwomba Mungu mwenyewe.
  6. C

    Mwanamke aliyepigwa Risasi ampa RPC Arusha wakati Mgumu...

    Safi sana afande umejihami vizuri tena ungemuua kabisa kenge huyo
  7. C

    Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

    Je tyre ya size 225/55R16 naweza kufunga kwenye CRESTA gx100 bila kufanya modification yoyote kama vile kuliamsha gari???
  8. C

    Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

    Ok kama rim size 16 Je, naweza weka mpira wenye specification hii 225/55/r 16????? Nauliza hivyo kwasababu niliona mpira wa size hiyo umefungwa kwenye chaser gx100 na gari imependeza sana, lakini nilivyoenda dukani kununua mipira size kama hiyo ili nifunge kwenye cresta Gx100 nikaambiwa haitofaa...
  9. C

    Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

    Tafadhali naomba kujulishwa kwenye cresta gx100 naweza kufunga tyre yenye kubwa mpaka size gani,bila modification YEYOTE.
Back
Top Bottom