Pole sana mtoa post! Honda CRV ni level nyingine kabisa. Comfortable, roomy, stable sana. Spare ni cheap na zinapatikana sana kwa sasa. Naimiliki najua, hayo mengine ni Toyo-ta syndrome.
Mwenyewe kuelewa anisaidie, gari yangu niktembea inawasha taa ya injini halafu inakuwa Kama inapungua nguvu na nikizima na kuwasha inatembea kawaida Hadi muda tena inaweza kurudia hivyo hvyo naomba nipate pa kuanzia nifanye nn!! Msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.