Recent content by culhoun

  1. C

    Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

    Ndo huyuhuyu aliyeanzisha huu uzi,it means alikuwa chuo binafsi.
  2. C

    Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

    Vyuo binafsi havikai na watu wasiojitambua hata siku moja.Jamaa katoa uzi mpya jana anaomba ushauri ameshadisco.
  3. C

    UDSM chapinga kudahili vilaza, NACTE pia waipinga TCU

    Refer admission 2010 had 2016 utaelewa ambacho nini nimesema (zipo mtandaoni).
  4. C

    UDSM chapinga kudahili vilaza, NACTE pia waipinga TCU

    Huwa mtu akichaguliwa ktk fani na chuo fulani na tcu,akitaka kuhama vyuo vinakuwa na limitation sana,tofauti na yule ambaye anakua amechaguliwa direct kutokana na application na priority zake.
  5. C

    SAUT main campus inaongoza kwa kuwa na Wanafunzi wasio na sifa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora hata huyo mmoja angekuepo mtoa mada kajiskia kukiorodhesha tu maana kwenye list hiyo yenye wanafunzi wasio na vigezo haikuwekwa kabisa na tcu ss huyo mtoa mada sjui amemuona wapi huyo mmoja..... watu mlitarajia st.joseph na kampala wangekuepo wengi sana...
  6. C

    SAUT main campus inaongoza kwa kuwa na Wanafunzi wasio na sifa

    Alafu ameweka st.joseph mwanafunzi 1 ili ionekane tu kuwa himo wakati tcu hawajaitaja.
  7. C

    Database administrator please visit here!!

    Hiyo inawezekana ndugu sio ngumu sana lakini kwa kutumia triger concept.
  8. C

    Kwanini wale wanafunzi wa chuo cha St. Joseph walipelekwa UDOM na siyo UDSM?

    Angalia vizuri kuna ya form hapo pia kuna mtu na dvs 3.25 frm 4 na six bado alipata D 3 tena ni zile za 2015.
  9. C

    Kwanini wale wanafunzi wa chuo cha St. Joseph walipelekwa UDOM na siyo UDSM?

    Hii ni admission ya udsm 2015/2016...mtu ana D 3 kwa hao waliomalza 2015 ilkua ni dvs 4 amechaguliwa electronics scnc and communication nae anajiita kipanga.
  10. C

    Mtaalamu wa information technology naomba msaada wako apa

    Check youtube...video itakusaidia zaid pale utakapokwama.
  11. C

    Mtaalamu wa information technology naomba msaada wako apa

    Siku hizi unaweza kuinstall android OS kwenye PC yako kama OS nyingine kama windows,ubuntu n.k .... au ukaweka windows na android at the sametime....na ukaprocess hzo apps zote za android...bluestack sikushauri PC itakua nzito sana
  12. C

    Tupeane maujanja ya Excel

    Cheki youtube kuna trick kukueleze itakua ni isssue.
  13. C

    Tupeane maujanja ya Excel

    Nilikutana na mtu anayetengeneza database system kwa excel dah hatari sana
  14. C

    Msaada kimawazo nataka nihame civil niende computer engeneering

    Dah jamaa unauwezo mkubwa sana wa kupambambanua mambo "great thinker"
Back
Top Bottom