Recent content by CUBICBOY

  1. C

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wameshaketi pande zote mbili kikao tujadiliana na vita imeshasimama kwahy muda wowote vita inaisha
  2. C

    Msaada pikipiki yangu ya san lg inashida

    Wakuu nisaidie nina pikipiki ya san lg nilinunua kwa mtu(used) kila nikiwasha inawaka ila kila ninapoingiza gia namba moja au mbili inazima msaada nini tatizo
  3. C

    Nimeumia sana leo

    Sio uzembe mkuu mazingira niliyokutana nae ni magumu sana , watu wengi Pembeni na alikuwa akiangaliwa na wengi nikakosa pozi
  4. C

    Nimeumia sana leo

    S Sio uzembe mkuu mazingira niliyokutana nae ni magumu sana , watu wengi Pembeni na alikuwa akiangaliwa na wengi nikakosa pozi
  5. C

    Nimeumia sana leo

    Leo nimekutana na mtoto mzuriii mweupee mwembamba dah, nimempenda nikamsalimia akaitikia vizuriiii nikashindwa kumsimamisha roho imeniuma sana jamani
  6. C

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Mkuu mi nikiona kiuno kama hichi simuachi aisee, kuna demu huku mtaani kwetu alikaa vibaya nikaona shanga kiunoni mpaka leo nikimuona nammezea mate
  7. C

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Mkuu ungempiga hata kimoko angetulia
  8. C

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Kumbe na wewe mtoto wafanya huo mchezo
  9. C

    Introverts Vs Relationship

    nimeishi na mwanamke ambae pia alikuwa introvet kama mimi tulikuwa tukikaa pamoja wala hatuongei hata siku nzima ila itokee shida au kumuulizia jambo zaidi ya hapo tunakaa kimya kunawasiliana kwa vitendo nikichoka kukaa ndani nikitaka kutoka namuhurumia sana akibaki peke yake kwa sababu muda...
  10. C

    Introverts Vs Relationship

    introvet wengi hawaendi na wakati hivyo mambo mengi ya kidunia hawayaelewi kabisa
  11. C

    Introverts Vs Relationship

    introvert tuwe tunajichanganya kuna wakati ninajihisi mpweke sana natamani kujichanganya nashindwa ila ikitokea nimefanikiwa kujichanganya kama watu wanaongea mada za kiutani utani naondoka huwa napenda watu waongelea kitu ninachokipenda mimi tu na huwa sipendi kuchangia napenda niwe...
Back
Top Bottom