Wakuu nisaidie nina pikipiki ya san lg nilinunua kwa mtu(used) kila nikiwasha inawaka ila kila ninapoingiza gia namba moja au mbili inazima msaada nini tatizo
nimeishi na mwanamke ambae pia alikuwa introvet kama mimi tulikuwa tukikaa pamoja wala hatuongei hata siku nzima ila itokee shida au kumuulizia jambo zaidi ya hapo tunakaa kimya kunawasiliana kwa vitendo
nikichoka kukaa ndani nikitaka kutoka namuhurumia sana akibaki peke yake kwa sababu muda...
introvert tuwe tunajichanganya kuna wakati ninajihisi mpweke sana
natamani kujichanganya nashindwa ila ikitokea nimefanikiwa kujichanganya kama watu wanaongea mada za kiutani utani naondoka
huwa napenda watu waongelea kitu ninachokipenda mimi tu na huwa sipendi kuchangia napenda niwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.