Ukijua thamani yako, hautaridhika tena na makombo.
Ukitambua uwezo wako, hutakubali tena kuburuzwa.
Lakini jua hili:
Wale waliokuwa wanakuchekea kumbe walikuwa wakikula kupitia giza lako.
Watakuchukia siku utakapowasha taa.
Maisha haya ni kama msafara wa nyumbu wengi hawajui wanakoenda...
Mfano wako wa nyumbu ni somo tosha. Maamuzi ya wengi siyo kila mara ni maamuzi sahihi usipofungua akili zako, utaishia kurithi makosa kwa jina la ‘kufuata wenzako’."
Ulichosema kina maana ni kweli si kila mtu atajua kila kitu, na ujinga wa mtu mwingine unaweza kuwa nafasi ya mwingine kujifunza au kufaidika. Lakini ni vizuri kila mmoja awe na bidii ya kujiendeleza ili siku moja asiwe mtaji wa ujinga wa mwingine bila kujijua. Maisha ni kujifunza kila siku
Habari wakuu kuna hii kauli nilikuwa nimepita sehemu nikaisikia
Hii kauli ina ujumbe mzito sana na ni ya kipekee kwa watu waliowahi kupitia hali ya kutumiwa au kudharauliwa kutokana na kutokujitambua. Inaweza kutafsiriwa hivi:
"Siku utakayopata akili" – yaani, siku utakapoamka, kujua thamani...
Habarini wakuu wa jamiiforums
Haya ni mambo muhimu ya kumpongeza Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:
1. Kuwa Rais wa Kwanza Mwanamke Tanzania
Mama Samia aliandika historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kuwa Rais nchini Tanzania tangu kupata uhuru mwaka 1961. Hii...
Habarini wakuu natumaini mko wazima wote leo niwaeleze ,Maana ya kuishi na mwanamke kwa akili ni kuwa na uhusiano wa busara, hekima, na uelewa na mwanamke katika maisha ya kila siku. Hii inaweza kuwa katika ndoa, uchumba au hata maisha ya kawaida ya pamoja. Inahusisha mambo yafuatayo:
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.