Recent content by CUBICBOY

  1. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Ukijua thamani yako, hautaridhika tena na makombo. Ukitambua uwezo wako, hutakubali tena kuburuzwa. Lakini jua hili: Wale waliokuwa wanakuchekea kumbe walikuwa wakikula kupitia giza lako. Watakuchukia siku utakapowasha taa. Maisha haya ni kama msafara wa nyumbu wengi hawajui wanakoenda...
  2. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Ukitafakari kweli, utajua ni wangapi walikunyemelea si kwa mapenzi, bali kwa ujinga wako. Huko ndiko kuamka
  3. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Mfano wako wa nyumbu ni somo tosha. Maamuzi ya wengi siyo kila mara ni maamuzi sahihi usipofungua akili zako, utaishia kurithi makosa kwa jina la ‘kufuata wenzako’."
  4. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Kama hujafungua akili zako, utapotea hata ukiwa na kundi kubwa. Nyumbu si wajinga kwa kuwa wengi ni kwa kuwa hawataki kufikiri.
  5. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    "Ukiwa mjinga, wengi wanakutabasamia; ukiamka, wengine wanaumia. Ndio maana maneno huwa na uzito kwa wanaojua thamani ya kujitambua."
  6. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Hapo tumeelewana! Maana siyo kila anayekupigia makofi anakutakia mema, wengine walikuwa tu wakinufaika na ‘giza’ lako."
  7. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Hapo umenena! Maana akili ikishawashwa, ‘data za kweli’ zinaanza kudownload na hapo ndo watu wanakimbia kama umewasha spotlight kwenye giza lao.
  8. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Tunakubaliana kabisa 💯! Bora uchelewe kuamka kuliko kubaki usingizini kwenye mtego wa unafiki
  9. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Ulichosema kina maana ni kweli si kila mtu atajua kila kitu, na ujinga wa mtu mwingine unaweza kuwa nafasi ya mwingine kujifunza au kufaidika. Lakini ni vizuri kila mmoja awe na bidii ya kujiendeleza ili siku moja asiwe mtaji wa ujinga wa mwingine bila kujijua. Maisha ni kujifunza kila siku
  10. C

    SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDIO SIKU UTAKAYOCHUKIWA NA WATU WOTE WANAONUFAIKA NA UJINGA WAKO

    Habari wakuu kuna hii kauli nilikuwa nimepita sehemu nikaisikia Hii kauli ina ujumbe mzito sana na ni ya kipekee kwa watu waliowahi kupitia hali ya kutumiwa au kudharauliwa kutokana na kutokujitambua. Inaweza kutafsiriwa hivi: "Siku utakayopata akili" – yaani, siku utakapoamka, kujua thamani...
  11. C

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Iran hatimaye wanataka kusalimu Amri ili vita viishe
  12. C

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Bora vita viishe tu hakuna maisha ya mara ya pili, watu wanaumia, watu wanaangaika,watu wanakufa yaani taflani
  13. C

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Habarini wakuu wa jamiiforums Haya ni mambo muhimu ya kumpongeza Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: 1. Kuwa Rais wa Kwanza Mwanamke Tanzania Mama Samia aliandika historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kuwa Rais nchini Tanzania tangu kupata uhuru mwaka 1961. Hii...
  14. C

    Jifunze kuishi na mwanamke kwa akili

    Habarini wakuu natumaini mko wazima wote leo niwaeleze ,Maana ya kuishi na mwanamke kwa akili ni kuwa na uhusiano wa busara, hekima, na uelewa na mwanamke katika maisha ya kila siku. Hii inaweza kuwa katika ndoa, uchumba au hata maisha ya kawaida ya pamoja. Inahusisha mambo yafuatayo: 1...
Back
Top Bottom