Kweli wazanzibari wanaweza wakasema wajitegemee na ni haki yao, lakini lazima tujue kuwa waliounda muungano walitumia deep thinking capacity. Ukweli ni kwamba mbali na udogo wake ; Zanzibar bado haiwezi kujitegemea Kwa vitu vingi kama vile:-
1.chakula: maeneo mengi Zanzibar yanamiamba, kitu...
Me nafikiri hapa kinachotakiwa ni kufuta vikundi vyote bila kujali green gards,red brigade and whatever. Maana inaonekana vitakuja kuleta maafa makubwa sana Kwa siku za usoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.