Recent content by CSF

  1. C

    Mtu yeyote anaweza kumfanyia upasuaji binadamu sio lazima asomee udaktari

    Na ukajua ni tatizo la Dr peke ake 😂😂😂😂😂simply huwa kunafanyika round wodini na discussion ya way forward kwa mgonjwa husika,then watu wanaingia thiatle ukijua kabisa mgonjwa anayeletwa ni wa procedure gani so akiingia ni kuhakiki tu kama una right patient kitu ambacho walimiss wao wakaendelea...
  2. C

    Muhimbili kuna utaalamu, dawa na vifaa tiba vya kutosha? Mbona majeruhi wengi wa moto wa lori la mafuta wanafariki?

    kuna complication za burn huwa zina progress slowly e.g. Pulmonary edema inaeza chukua hata 4 days hapa mtu mapafu hayafai kwa gas exchange mgonjwa anaanza kudeteriorate tuu mapafu yameiva hayo so mgonjwa siku za mwanzo atakuwa yuko poa kiasi cha kuweza ongea na kupumua vizuri . Kingine mgojwa...
  3. C

    Muhimbili kuna utaalamu, dawa na vifaa tiba vya kutosha? Mbona majeruhi wengi wa moto wa lori la mafuta wanafariki?

    Chief Total burn surface area (TBSA) huwa inaangaliwa kwa macho tuu hizo % huwa ni jumla ya eneo lote lilioungua yaaani kichwa kina %yake na kila kiungo kina % yake. Hii maada ingependeza kama mtu anataka kueleweshwa aulize na wadau wangetoa madini yao. Kwa wanaosema pale MNH hapafai au uzembe...
  4. C

    Muhimbili kuna utaalamu, dawa na vifaa tiba vya kutosha? Mbona majeruhi wengi wa moto wa lori la mafuta wanafariki?

    Mtu akishakuwa na burn of greater than 50% they are more likely kwenda na acute kidney injury ( figo zinafeli) na wanapoteza joto kwa kiwango kikubwa. Kingine ambacho huwa kinatokea ni kuungua kwa mapafu kutokana na mvuke wanaokuwa wameuvuta so wanapata kitu kinaitwa (pulmonary edema) hapa...
  5. C

    Virusi na UKIMWI ni ugonjwa feki? Kuna kitu sielewi...

    Seems kama huelewi unachotaka kuwaaminisha watu "hebu tuanzie kwanza kwenye hiki kitu ulichokiandika CD4,,,mkuu hebu shuka nondo zisizo na shaka ,,CD4 ni kitu gan ,,kinapatikana wapi ,kazi yake nn,,vitu gan vitatokea ukipungukiwa au kukosa kabisa CD4,,umeshawahi kuona CD4? Tuwekee mchoro wa...
  6. C

    Virusi na UKIMWI ni ugonjwa feki? Kuna kitu sielewi...

    Daaah sikutegemea kwa mtu mzima aliyeshuhudia real manifestation ya HIV/AIDs miaka ya 1990 na early 2000s asielewe kama kuna UKIMWI,,,,...na kuna wengine wanataka waone virus kwa macho yao ....ha ha haaaa kwa ile size unataka umuone ,,huku tunafanya Ag-Ab test na tukienda mbali tuna PCR ...
  7. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Na ukongwe wako wote unaulizwa swali unakimbilia google ....unapoleta uongo na mihemuko yako humu utaumbuka .....hivi vitu tunavijua na hatu google kama kilaza wewe .....kama mnaona wanataka kuwaua sana kataeni na dawa zao muone tutavyozikana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Hiyo ilikuwa study na katika study huwa kuna ethics zake especially kama unainvolve human being ,,,,kilichofanyika kwa watu wale katika kusoma natural history of disease walichukua hao jamii ya watu weusi wakawa wana wainoculate wadudu wa syphilis 'spirochetes then wanawaangalia wanaishia wapi...
  9. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Hakuna maada mkuu hizo ni hisia zako na inferiority complex tuu za wengi wetu,,,,sisi tu nn mpaka kufikia hatua ya kuwa tishio kwao ,,,,hivi mkuu hujui huduma nyingi zikiwemo za kiafya unapata kwa hisani yao? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Mkuu tufanye trial "zaa mtoto mtoto usiende kliniki wala usimpe chanjo then tuletee feed back hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Huna hoja mkuu ,,,sisi tupambaneni na matatizo yetu tusiwe watu wa kutoa lawama tu wakati matatizo makubwa tunayo sisi huku Sent using Jamii Forums mobile app
  12. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Usijifiche kwenye story za vijiwe kwamba "inasemekana au wanasema au sijui journal gan " prove hapa madai yako ikibidi utoe hata mifano miwili Sent using Jamii Forums mobile app
  13. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Ukitaka nijikite kwenye mada nitakuomba u prove madai yako beyond doubt ,,,,ushahidi huna unasemea hisia zako Sent using Jamii Forums mobile app
  14. C

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Mara nyingi matatizo yetu huwa hatuyakubali na hatupendi kuyazungumzia ki ukweli kabisa .......Nakupeni mfano hivi mnajua kama mpaka sasa hatujiwezi kiasi cha kushindwa hata kununua chanjo tunazotumia wenyewe yaaani sehemu kubwa hatuwezi kujiendesha ....kama mnafikiri wako kwa ajiri ya...
  15. C

    Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

    Ha ha haaa enzi hizo kuna bus moja inaitwa BEDUI nyingine mbogo trans .....umenikumbusha mbali na kuna kaeneo "mzambalaoni" kama sijakosea kulikuwa ajali haziishi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom