Mmmmmmhmn jamani wapi me nimesema nimeshiriki zaidi ya kusema hicho ni kisa cha rafiki yangu na rafiki zale huko alinihadithia.
Video ilikuwa kwenye flash waliyokuwa wameweka kwenye tv sikuwa nayo mimi na sijaitazama. Ni video zile za porn za ulaya.
Me sivuti shisha ila wine nakunywa kama...
Nina rafiki yangu ana rafiki yake ambaye sipo nae karibu sana.
Tulikuwa tunaongea juzi tukiwa tumekunywa wine kidogo. Katika story akaleta confession baada ya kunambia kisa cha rafiki yake.
Alisema huyo rafiki yake kuna siku alikuwa yupo nyumbani na shoga ake walikuwa wamelewa sana na kupuliza...
Habari ya jumapili.
Jana tukiwa dinner na gurls, pamoja na rafiki wengine wa kiume,tulijikuta tumeingia katika mjadala juu ya maswala ya wanawake kuomba pesa wanaume na wanaume kutokupenda kuombwa hela, pamoja na swala zima la kujitambua kifikra, finance, kutafuta mali, kujenga Wealth, na kuwa...
Ugaidi ni ugaidi tu. Ugaidi ni kutishia maisha ya wengine na kuyaweka hatarini kwa lengo la kutimiza matakwa yako binafsi.
Hao umewataja ni wahalifu ila katika sura nyingine kabisa. Hao ni wahalifu na ndio maana tuhuma zao unaona zipo tofauti na za Osama au wale magaidi wengine ambao uhalifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.