ndugu zangu,soka la bongo ndivyo lilivyo,hata tufanye nini,hatuwez piga hatua,watu wote wana njaa,na siasa ndiyo inatuponza,ndiyo mana soka letu linabak kichwa cha mwenda wazim kila siku,si simba ya rage wala yanga ya manji,kila mmoja rage na manji wapo kwa maslahi yao pale! ili tuweze...