Thamani ya rupee ni kubwa endapo tu haijagongwa kwenye pembe maana watu uitumia kwa mambo ya kishirikina na wakifanya hivyo huigonga kwenye pembe na kuitupa hapo kazi yake inakua imeisha. Hivyo ukiiokota katika hali hiyo basi inakua si kitu tena
Uliposema msikiti ndipo uliponiibua hata kuthubutu kujibu hii comment yako.
Msikiti ni sehemu ya kufanyia ibada kwa waumini wa dini ya kiislam, hoja yako ya kusema “
Alizoea kupewa udaku na asad wakiwa msikitini”
Kidogo inaweza ibua hisia kwa waumini wa dini hiyo tafadhali kama huto jali...
Chief sidhani kama ilikua ni lazima kuzungumzia imani za watu, itikadi za chama au ukanda wao. Kwani sote tu kitu kimoja na hoja hii haina afya kwa umoja wa kitaifa kwani inawatenga watu fulani na kuwahisisha watu fulani. Ni bisara sana usishambulie itikadi wala asili ya mtu yeyote kwani haya...
Ni katika jitihada za kuwasilisha malalamiko yangu kwa niaba ya vijana wenzangu. Zoezi hili la udahili kwa mwaka 2018/19 limegubikwa na sintofahamu kwani nadhani hakuna link baina ya TCU na vyuo.
Tazama kwa mfano awamu ya pili ilivyoendaenda mambo ya kuconfirm na changamoto zake alafu tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.